Simple! Ndugu Paul Kijoka amka mapema uende pale ubungo maziwa ukawaeleweshe waTZ wenzio ndani ya treni au wanaosubiri treni kwamba hicho "WANACHOSHABIKIA" ni "UHUNI". Then uje utupe majibu!
Taarifa ya Wizara ya Nishati
"...Tunapenda kuwakumbusha wananchi kwamba isingekuwa mdororo wa kiuchumi duniani ulioathiri utekelezaji wa mradi wa Mnazi Bay (MW 300) na kuchelewa utekelezaji wa mradi wa Kiwira (MW 200), mambo ambayo yalitokea bila kutarajiwa, tatizo la umeme nchini leo hii...
Hata mimi nimepata tabu na timing, individuals waliotajwa na uharaka wa kujata "mafisadi" wapya. Itakumbukwa lengo la ziara za mikoani ilikuwa ni maandamano ya issue za rasimu ya katiba. Lakini Serikali ime-preempt kwa kuutoa ili ukarekebishwe, nadhani hapa ndio ikabidi kutafuta cha kusema na...
Achilia mbali mbunge, bongo tulishawahi kuwa na mkuu wa mkoa, wilaya, mwenyekiti CCM Mkoa na gavana asiye raia. Kwa hiyo bongo hakuna kisichowezekana.
Au wewe ni mgeni hapa Tanzania?
Huyu muiran anatapatapa, hana adui ambaye anaweza kuwa mjinga kiasi hicho. Nadhani kuna kitu anahisi kitamuumbua/kishamuumbua karibuni kwa hiyo anatafuta sympathy, si ajabu hata akazusha kavamiwa nyumbani kwake.
Kama kweli kuna watu wanataka sahihi yake waende BRELA wakapewe miongoni mwa...
Kazi yake ilikuwa kuwezesha kukamatwe watuhumiwa, period. Yaliyoendelea na yanayoendelea kwenye hiyo kesi usimuhusishe, kuna polisi na mahakama ndio wanaopaswa kuulizwa hizo habari!
Nimevutiwa na hoja ya Makamba kwamba safari hii kamati kuu ya CCM iliona ni vyema kupitisha mwanamke kwenye nafasi ya uspika sababu ni wakati wao na kwa kuwa tangu uhuru hatujawahi kuwa na spika wa kike.
Naona chama kama kinawathamini wanawake kingeanzia nafasi ya Katibu Mkuu wa CCM kwani...
Binafsi safari hii siko interested sana na kama Bashe kama ni raia au si raia kwani Masha ameshathibitisha kwa mamlaka aliyo nayo. Ila nimevutiwa na mchakato wa kuthibitisha uraia wa Bashe.
Kwamba Bashe aliandika barua kwa Masha akilalamikia "upotoshaji" wa uraia wake uliofanywa na CCM (hasa...
Mbona Ndolanga na Rage walishawahi kushinda kura za maoni na kutoswa (kama sikosei mwaka 2000) japo kesi yao mahakamani haikuwa inahusiana na uchaguzi?
Weye ndio unachanganya, huyu hakubadili jina bali alitumia NAFASI NA JINA la mtu mwingine kuendelea na masomo. Tunabadilisha majina yetu wenyewe bila kutumia majina ya watu wengine. Kwani ukitumia cheti cha mtu mwingine huwezi kuitwa umebadili jina ila umefanya UDANGANYIFU. So alichofanya huyu...
CUF walishafanya uteuzi wa wagombea ubunge na kwa Nzega atasimama diwani wa zamani wa Nzega mjini Clement Dominic Kizwalo. Hata akionekana ni raia na akagombea upinzani bado hatakuwa na uhakika wa kushinda kwani hilo la uraia lishamchafua ila kikubwa ushindi alioupata dhidi ya Seleli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.