Update:[emoji116]
Nilifanikiwa kununua friji la BOSS lita 145. Friji ipo njema sanaaaa sijutii kulinunua.
Asanteni pia kwa ushauri wenu nyote mliohusika kunipa ushauri mbalimbali [emoji120]
Naomba kufahamu gharama za kutoa pesa kwa kutumia VISA Card Yaani mfano unae card ya CRDB unaenda kutoa pesa NMB au NBC n.k hapo gharama zikoje wajuzi?
Wazoefu na Kariakoo tupeni ujuzi wenu mnaotumia kusafirisha mizigo yenu mbalimbali baada ya kuinunua na kuhitaji kuisafirisha kwenda mikoani kwa njia rahisi na nafuu. Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.