Nashindwa kuelewa tunapoenda kimaadili katika nchi yetu na je ni ujumbe gani tunaoupeleka kwa vizazi vijavyo?
Ninaposikia watuhumiwa wakubwa wa ufisadi wakipewa vyeo bungeni na kwenye vyama vyao, ninabaki na maswali mengi.
1. Ina maana hakuna watu wengine wanaowazidi hao kwa sifa?
2. Ina...
Sijaweza kujua hasa sababu au mkakati Wa uteuzi wa waandishi wa habari wengi kwenye ukuu Wa Wilaya.
Kwa uchache nimewatambua wafuatao.
1. Novatus Makunga
2. Muhingo Rweyemamu
3. Jacquline Liana
4. Suleyman Kumchaya
5. Elizabeth Mkwasa
6. Sara Dumba (ameongezwa)
7. Halima Kiemba...
Wanaotafuta heshima ya kweli ni wachache, wengi wanatafuta chakula cha leo na akiba ya baadae.
Wenye uchungu ni wachache sana. Mashujaa wa kweli ni wachache sana. Hata baadhi ya wapinzani sio mashujaa wa kweli.
Kibadikisha jina ni kama shehe anayebadili kanzu huku akibakia yuleyule. Kimebadikisha jina toka TANU na kuwa CCM. Toka cha mapinduzi na kuwa cha Maneno.
Nape wewe ni mtu muungwana na kijana wa maana bado. Nakushauri ujiunge CHADEMA kulinda heshima yako. Ni uamuzi mzito lakinni utaheshimika hata bila cheo chochote. Utabakia wa kuheshimiwa kwani CCM imeonekana kukosa uwezo wa kukemea maovu. Imebakia na kuendeleza maovu na kutumia nguvu kulazimisha...
Ukweli ni kuwa siku za chama zinahesabika kama hakuna mageuzi makubwa. CHADEMA wakitumia muda huu kuzunguka nchi nzima kitaeleweka. Kwa sababu wkati watu wameshindwa hunyong'onyea na kukosa nguvu. Hivyo this is the right time.
Pia ni muhimu CHADEMA kutumia muda huu kwani huko MWANZA unyama wa...
Nilisoma thread iliyokuwa inasema: KIGUMU chama Cha Mapinduzi kubadilika, Ni ngumu fikra za mwenyekiti za kuvua gamba. Ni ngumu siasa ya unyama na kujitegea, sorry ni ngumu siasa ya unyama na kujimegea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.