Mimi sijui nilingia kwenye setting gani kwenye simu yangu ..Yani huu ni karibu mwaka Sasa siwezi ku access explicit content kupitia simu yangu na kiukweli sijutii kabisa.
Pia kwenye magrup uchwara ya whatsap yooote nilidelete na kuanza kutumia namba mpya...[emoji18]
Nimejikuta kwenye kusoma...
Naikubali sana Ina storage ya kutosha na ni jiwe la uhakika kwenye chaji..aise Mimi natumia zaidi ya siku mbili-tatu bila kuchaj kabisa...bila kuzima data
Jamani nawaasa na kuwaomba chondechonde tuliheshimu jino. Jino limeniweka kwenye nusu kaput, umwamba wote, mafunzo yote ya kibabe niliyasahau[emoji119]
Nimeapa kuwa balozi mzuri kuhusu haya mambo:
[emoji117]Tuzingatie usafi wa kinywa siku zote maana haya mambo huwa yanaanza mdogomdogo kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.