Hello!
Habari zenu, tafadhari naomba kwa mtu yeyote anayefahamu datrari bingwa wa fistula, (anal fistula) anipatie maelekezo maana nina tatizo hili na nimeshafayiwa operation mara moja bila mafanikio. Au kwa yeyote aliyewahi kuugua kisha kupata matibabu na kupona naomba anipatie msaada
ahsante
Hello!
Habari zenu, tafadhari naomba kwa mtu yeyote anayefahamu datrari bingwa anipatie maelekezo maana nina tatizo hili na nimeshafayiwa operation mara moja bila mafanikio. Au kwa yeyote aliyewahi kuugua kisha kupata matibabu na kupona naomba anipatie msaada
ahsante
Ndio kaka fistula inampata mtu yeyote na tena inaweza kutokea sehemu yeyote ya mwili wa binadamu, inayowapata wanawake pia ni aina mojawapo ya fistula, tafadhari hebu tembelea wavuti hii.
Habari zenu wana JF
Samahani naomba msaada kwa mtu yeyote ambaye anajua sehemu gani wapo maspecialist wa FISTULA, Nikimaanisha daktari bingwa wa kutibu fistula!, nimejaribu kufika CCBRT lakini nimeambiwa pale wanadeal na fistula kwa wanawake tu. Ahsanteni
wabongo ndivyo tulivyo huwa tunaponda sana vya kwetu na kushabikia vya nje!!! wapo wengi tu kina shafii!!! wanaishia kuwa na porojo nyiiiingi zisizo na maaana.
THIS IS THE TIME FOR ACTION ......! hatutati porojo
Ni takribani miezi 6 sasa toka nilipaachana na rafiki yangu,
lakini mpaka leo hii napoandika thread hii naumia moyoni kila nikimkumbuka
nilikuwa na ndoto nyingi nae katika maisha yangu bali kutokana na sababu nilizochindwa kuvumilia kwa muda mrefu nikaona nijiweke pembeni.
nimeshindwa kabisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.