Recent content by Forest Hill

  1. Forest Hill

    Hapa duniani starehe ziko chache, majanga ndiyo mengi

    In the movie Forrest Gump, one day Forrest and Jenny runs away from Jenny's father and Jenny prays: "Dear God, make me a bird, so that I can fly far, far, far away from here.” Does Jenny fly, like Forrest runs?
  2. Forest Hill

    Ungekuwa na Mamlaka Serikalini, ungefanya nini kuikuza Tanzania kiuchumi bila kumuongezea mzigo mwananchi?

    Kwa kifupi bila kufafanua, 1: Kupunguza matumizi ya serikali angalau 30% 2: Wabunge mshaara milion 5 kwa mwezi,Gari Toyota RAV4 3: Hakuta kua Na Wakuu wa Mikoa Wala wakuu wa Wilaya 4: Watakao tajwa kwenye ripoti ya CAG mahojiano watafanya wakiwa UKONGA 5: MAFISADI wapiga deal,vishoka,hakuna...
  3. Forest Hill

    Music industry haiwabebi wasanii Wachanga

    Uliza upewe mbinu,
  4. Forest Hill

    Music industry haiwabebi wasanii Wachanga

    Nikiwa Kama retired mdau wa bongofleva,,kijana akiwa na mipango na kipaji na utandawazi huu, rahisi Sana kutoboa,Tena raisi Sana..
  5. Forest Hill

    Je, unaamini katika kuwekeza? Nina wazo la biashara kuanzia 10/20m ( kuuza unlimited internet buku tu kwa siku mteja atatumia hata gb 500 yeye tu

    Sema wewe ,Kuna mtu juzi alileta wazo hili nikamwambia,hakusikia,wewe umeuziwa huduma,hujapewa haki ya kuuza.. Hermanx
  6. Forest Hill

    SCREENSHOTS: Wimbo gani unasikiliza sasa hivi?

    Pumzika mkuu, usiku mwema..
  7. Forest Hill

    SCREENSHOTS: Wimbo gani unasikiliza sasa hivi?

    Haha sawa Dj,shusha za 2000s,tusilale,weka zenye groove kidogo,kesho weekend
  8. Forest Hill

    SCREENSHOTS: Wimbo gani unasikiliza sasa hivi?

    Karibu Mkuu,nakufananisha na Rafiki yangu wa Zamani jina lake linaanza na herufi G,.
  9. Forest Hill

    SCREENSHOTS: Wimbo gani unasikiliza sasa hivi?

    Nafatilia Sana playlist yako,una Taste nzuri Sana,and old school
  10. Forest Hill

    Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

    Samahani japo kupenda upofu,Ila Mshana Jr ni mganga wa kienyeji,usije sema hatukukuambia,
  11. Forest Hill

    Tetesi: Pacome Zouzou ni mnyama

    Dick job kashasaini mashujaa
  12. Forest Hill

    Onesha mapenzi yako wazi wazi kwa umpendaye

    Nakupenda sana,nakujali nakuheshimu,wewe ndio kila kitu kwangu,,but Kuna muda unazingua Ila nifanye Nini na Mama ni mama?? I love your dear Mama,,
  13. Forest Hill

    Wazo la Biashara

    Hujui unachoongea ngoja nikuache tu,nimeuliza kuhusu Azam,inaruhusiwa kuwaunganisha watu na decoder Yako??
  14. Forest Hill

    20 Greatest Tanzanians Of All Time

    Mnataka kusema wanasiasa pekee ndio tuwatambue kwenye list hii??
  15. Forest Hill

    MJUE STUNT:- Mungu akusaidie usiwe Stunt.

    Actor Maafuru Wa movies za The Mummy,George of the jungle (Tarzan) the Whale, jumanji,bwana Brendan Fraser chanzo kikubwa Cha ku ruin career yake ni kwamba alikua haitaji Stunt kwenye scene zake so mpunga wote anapiga yeye, kilichotokea alikua anaumia sana kashavunjika Mara nyingi na kafanyiwa...
Back
Top Bottom