kama kweli wamemfukuza zitto kwa haki basi wanasitaili kuogopwa na kuheshimiwa kwa kuchukua maamzi magumu. itasikitisha tu kama itakuja kubainika ni fitina. namkumbuka sana zito kwenye operation sangala.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.