We ngoja sasa akitoka hapo ni polisi pamoja na binti.
Kisha utasikia wote wawili sukari ilipanda tukawakimbiza hospitali kuokoa maisha yao, bahati mbaya wakafariki njiani!
Polisi ya Iran haina tofauti na polisi ya CCM.
Kama waolewaji wenyewe ndo hawa, naomba nitangaze rasmi kujiunga team kataa ndoa.
I hope Chris hatowaangusha singo mazaz kwa kuwaongezea mwanachama mmoja soon.
dronedrake naomba utaratibu wa kadi ya chama.
##kataandoa##
##ndoaniwizi##
##ndoaniutapeli##
##ndoaniujambaz########
Mnamtaka bashite na mazingaombwe yake!
Watanzania ni watu wa bei rahisi sana aisee! Ni kama wanawake, hupenda zaidi kudanganywa na kuigiziwa kuliko kuambiwa ukweli na uhalisia
Lakini huyo Magufuli katika hizo reports nadhani ndo alikuwa hovyo zaidi hata siwezi kumsifu
Yeye hakutaka hizo hasara zisomwe kabisa, badala yake zilitengenezwa faida za kwenye makaratasi tu kuuhadaa umma uone anavyougonga mwingi kupitiliza.
Ndo sababu akazinguana na na CAG Prof. Assad na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.