Recent content by felesimanga

  1. felesimanga

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri Bungeni: Usomaji Bajeti ya Serikali 2015/16

    Kima cha chini sh. Ngapi...?
  2. felesimanga

    JamiiForums Tanzania Mwakyembe akanusha taarifa iiyokuwa inasambazwa kuwa atadili na Lowassa

    Politics mind games
  3. felesimanga

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya Kisiwa cha Bermuda

    Kuna documentaries zinazoelezea juu ya Bermuda triangle na visiwa vyake kwa undani zaidi. Kama ukiweza kuzipata utapata majibu yote juu ya Bermuda
  4. felesimanga

    JamiiForums Tanzania J. Makamba, Sumaye, B. Membe hamuwaoni, Kwa nini Lowassa?

    Kinachoonekana ni kuwa Edward ni hatar zaidi au ana nafasi kubwa sana ya kukiwakilisha chama ndani na nje ya chama cha mapinduzi hivyo kupelekea wagombea wengine kuwa na mipambano miwili kuelekea urais (mpambano dhidi ya Edward na mpambano dhidi ya uchaguzi mkuu)
  5. felesimanga

    JamiiForums Tanzania Vitisho Kagame: Rwanda ikituchokoza kijeshi tutaichakaza

    Binafsi sidhani kama kutakua na tatizo lolote kama rais wetu akitumia busara alizozitumia addis ababa KUMUONYA General kagame. Hii itatoa taswira halisi ya hatua gani zifuatwe kama ONYO hilo halitasikilizwa.
  6. felesimanga

    JamiiForums Tanzania Utofauti wa Makambi ya vijana wa CCM na kinachoanzishwa na CHADEMA

    Huu ni Upotoshaji tuu....na kujarib kujitetea
  7. felesimanga

    JamiiForums Tanzania Kikwete anapoomba Msaada kutoka Ulaya kuwakamata wala rushwa, anamaanisha nini?

    te anakubaliana kabisa na udhaifu wa serikali yake na taasisi zake ndio maana ameamua kutafuta huu msaada kwa wazungu
Back
Top Bottom