Mtuwekee dokezo tupige kura Kama lililopita la kushindanisha magwiji wa siasa hapa JF. Tunataka tuwabatize watu hapa hapa wajuwe chadema sio mchezo. Likiwezekana Admn aliunganishe site zote mpaka afya. Kama mtu mmoja atakuwa na ID mbili au tatu liachwe tu.
Lengo liwe chadema imekufa au kipo hai.
Ok eti Dakitari msukuma anasema yeye siyo chawa.
Hongereni Sana mapambano yanaendelea. Ila huko nyumbani tunasikia makelele. Hao vijana wameshaanza kugombana mama yao sijui katoka?
Alichezea ndevu za wazee. Anajichanganya kwa wakulima ili wasahau. Moto anaochea Sabaaya sio wa mchezo.
Mungu bwana ni hakimu ambaye anatuangalia kimatendo na maongezi.
Hivi yule waziri wa kukata mauno bado yupo? Kapotelea wapi? Mwenye ile clip ya masambende ya kijani tuwekeeni tuone.
Huko lumumba hakuna walezi mnaharibu vijana wetu kwa upumbavu.
Ukimuuliza kijana unaenda lumumba mawe yanakuhusu Kama mvua inanyesha. Duuuuu
Yaani ni afadhali wangekusanya watoto wa miaka 15 zaidi ya 500 wakawasomesha professional mbalimbali kwa vitendo kuliko huo upumbavu.
Hao vijana tungewatumia miaka mingi na wale wenye makaratasi yao ndani wangeenda kulima.
Mchina alicheza hakukosea na wale vijana hawakutetereka walifanyakazi...
Acha kujirembua ndugu, hili tatizo la kuwafinya wanyonge ni wapumbavu wanalo sana. Kweli wangekuwa na uchungu kwa watanzania walivyomasikini wangetumia Kodi kwa makini na Sheria zitumike katika manunuzi na kutunza Mali za serikali.
Kama serikali inaweza kununua gari la milioni 300 baada ya...
Nimejiuliza maswali mengi Sana lakini sipati picha? Mara anamtaja Kabudi Mara Iddi Amin Mara Ghadafi. Embu atupe ushuhuda wa Kabudi wa kikazi aliosaidia watanzania wakati akiwa waziri?
Ninachokimbuka ni ahadi za NOA kila mtanzania, Juice ya madagaska, mbwembwe za kutaka aaminike kuwa anaijua...
Ndiyo maana tunataka apunguziwe majukumu. Wapo watu ambao wanaweza kufanya hayo majukumu kikatiba.
Kuna bunge Kuna mahakama, hi ni dira ambazo hazitakiwi kuyumbishwa. Rais hatakiwi kutia hapo mkono.
Nimesikiliza sikuweza mpaka mwisho. Uvumilivu umenishinda Happ ulipomtaja mwendazake. Yaani unamlinganisha muuwaji na mama? Mengine umeongea vizuri na uko vizuri lakini Happ kwa mwendazake umebugi. Huyu mwendazake karudisha watanzania ezi za ujima.
Upo vizuri achana na mwenda zake Jenga hoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.