Recent content by faithful

  1. faithful

    JamiiForums Tanzania Mke wangu ni mjamzito wa miezi 10 hivi sasa

    Sidhani kama UTRA SOUND ni hatari kwa mama mjazito,nadhani ndio ingekuwa msaada mkubwa kwa hali ya mgonjwa wako.Nadhani huyo mshauri hakuwa sahihi kabisa.
  2. faithful

    JamiiForums Tanzania MSAADA: Mjamzito kusumbuliwa na gesi na tumbo kukaza sana.

    Papai na nanasi wanasema sio matunda mazuri kwa mama mjamzito. ndizi ni nzuri zaidi badala ya papai na inasaidia sana kupata choo kirahisi na kuondoa gasi. Mjamzito akila japo ndizi mbivu mbili kwa siku pia anajiwekea kinga na magonjwa ya moyo na haswa pressure ambayo ni hatari kwake na mtoto.
  3. faithful

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli amteua Dkt. John Jingu kuwa katibu mkuu Wizara ya Afya, Bi. Sihaba Nkinga atenguliwa

    Natamani kujua kwa nini HILDA KABISA katenguliwa.Alikuwa mchapakazi sana.
  4. faithful

    JamiiForums Tanzania DC Pangani, Zainab Abdallah ana moyo wa pekee. Alimshauri mumewe kuongeza mke kutokana na yeye kuwa busy na majukumu

    Huyu hampendi huyo bwana anatafuta jinsi ya kuachana nae kwa wema tu bila visasi.
  5. faithful

    JamiiForums Tanzania Jovin Kwanini unataka kumfukuzisha mume wangu kazini?

    hebu tupia hayo makochi ili tuyathaminishe..huyo Jovin ni shetani anayetamani kuishi kama malaika
  6. faithful

    JamiiForums Tanzania Waziri Jenister Mhagama atoa mwezi mmoja kwa wafanyakazi wa wizara yake kuhamia Dodoma

    hivi kiwanja cha ndege Dodoma kimeshakuwa na uwezo wa kupokea Ndege kubwa maana nilikuwa naona ni ndege za kukodi tu...hakuna ndege za abiria zinaenda Dom
  7. faithful

    JamiiForums Tanzania Mtwara Airport (MYW)

    wakati unasubiri n amba waambie airport haina taa safari ni mchana tuuu
  8. faithful

    JamiiForums Tanzania Lulu amtusi mama yake Kanumba, amuita KUBWA JINGA

    wakati lulu ana mahusiano ya kimapenzi na kanumba ilikuwa siri kiasi kwamba ht mama kanumba hakujua ila baada ya lulu kutoka rumande ushoga ghafla ukaibuka kati ya lulu na huyo mama nilikuwa najiuliza wanazungumza nini mtu na mjukuu wake!!kitu km hicho nilikitegemea
  9. faithful

    JamiiForums Tanzania Mzee Mengi na Jacqueline maisha ni motomoto,wakubwa wanafaidi

    nami najiuliza kibinti kama hicho kinajisikiaje kuvuliwa nguo na babu yake?na ukute anamwita baby...pesa noooooma!
  10. faithful

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wazazi wa mke wangu wamehamia kwangu kabisa, nyumbani hakukaliki

    mie mgeni kwenye nyumba yangu simuwezi hata siku mbili jamani loooh inabidi uwe ukirudi kazini ujifungie chumbani sebuleni pia unapaogopa!!
  11. faithful

    JamiiForums Tanzania Mwisho Mwampamba, nini kimemsibu?

    kweli aling'aa sana big brother ila akawa mshindi wa pili...kamwe hawezi kuwa wa kwanza maishani mwake ukizingatia anaitwa mwisho jina linaumba
  12. faithful

    JamiiForums Tanzania Gari ipi nzuri kati ya Harrier240G na Klugger

    msingida tujuze milage pls
  13. faithful

    JamiiForums Tanzania Gari ipi nzuri kati ya Harrier240G na Klugger

    Harrier ndio mwisho wa reli
  14. faithful

    JamiiForums Tanzania Tetesi: AY, Salama Jabir wekeni mambo hadharani

    sio tunauli hata pa kufikia ni ishu guest gharama kwa kaka shem ananuna live!!!!
  15. faithful

    JamiiForums Tanzania Nimekamatiwa pikipiki nikiwa naikokota kwenda kwa fundi

    kusukuma unapaswa kuwa na leseni ndio na pikipiki inapaswa kuwa na bima muda wote
Back
Top Bottom