Nimechukua namba takutafuta,ila kama ungeweza k
Mkuu takutafuta,ila kama inawezekana kupata list ya products kwenye inbox yangu ningeshukuru sana mkuu.
Wadau heshima kwenu,
Nimekuwa nikihangaika jinsi ya kumonitor duka langu hasa wakati niko safarini na kuna mdau alinidokezea kuwa naweza kupata camera ndogo za siri zinazoweza kurecodi matukio yote wakati sipo,
tafadhali mwenye taarifa zaidi naomba msaada,
asanteni
Kwa kawaida Meya huwa anachaguliwa na ili apoteze umeya ni suala la au kura za kutokuwa na imani naye au Kufukuzwa uanachama hivyo kupoteza ubunge au Kushtakiwa na kupatikana na hatia/kufungwa SASA SUALA LA KUFUKUZWA HALIELEWEKI-Kafukuzwa kazi na nani? maana Huwa hawaajiriwi .
Make it clear.
Wadau mimi ni muuzaji wa hivi vitu kwa rejareja lakini changamoto niliyonayo ni upatikanaji wake hasa kwa bei za jumla kwani wengi wanaojiita wholesalers ni middleman tuu,
Tafadhali anayewajua wauzaji wa jumla wa uhakika anisaidie.
ASANTENI SANA.
Nashukuru sana kwa ushauri japo nilitoka nje ya mji kwa siku kadhaa sikuweza kushukuru kwa wakati,
Kwa sasahivi ninachoweza kufanya ni kuukausha tuu lakini zaidi ya hapo Value addition ingine shule ndo tatizo -Je kuna mwenye msaada wa elimu hiyo?
Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.