Recent content by Faana

  1. Faana

    Bariadi: Wanafunzi wavunja masomo na kuzuia Msafara wa Mbowe, wampigia Saluti

    Mwalimu Mkuu anapoteza nafasi yake Bodi ya shule itavunjwa Wazazi wa watoto watanyang'anywa NIDA zao
  2. Faana

    Serikali Ijenge Daraja Kuunganisha Tanzania na DRC Kupitia Ziwa Tanganyika (Karema-Moba Au Lagosa-Kalemie)

    Tumalize kwanza barabara maana mafuriko tu yameshindikana kuyakabili
  3. Faana

    Utafiti: Ndoa nyingi zimeshakufa ingawa watu bado wanaishi kama mke na Mume

    Kwani bila kutukana ujumbe hauwezi kufika? Huu si mjadala au tunagombea jimbo la uchaguzi? Nani kilaza kati ya anayebadili mjadala kuwa ugomvi?
  4. Faana

    Haya mafuriko ya leo Ifakara ni hatari

    Wananunua mashaangingi barabara ndiyo hizo
  5. Faana

    Utafiti: Ndoa nyingi zimeshakufa ingawa watu bado wanaishi kama mke na Mume

    Huyu mtafiti anayo hoja, labda ni figures tu amekosa, ila ukweli ni huo ndoa nyingi ni mfu, mfano mtaani ninapoishi kuna kaya kama 380, kuanzia 2012 hadi sasa kuna ndoa zaidi ya 100 ninazozifahamu zimesambaratika na nyingi ni za viapo vya kifo kitutenganishe
  6. Faana

    Utafiti: Ndoa nyingi zimeshakufa ingawa watu bado wanaishi kama mke na Mume

    Walioleta dini wanatumia ndoa za mikataba sisi wapokeaji tunang'ang'ana nazo
  7. Faana

    Ukitenguliwa tulia, kila jambo lina wakati wake

    Kuna Mbu Nge kule Nzega apate ujumbe huu
  8. Faana

    Familia ya Hayati Magufuli: Tumeacha muda ujibu, hatutajibu mtu yeyote

    Aliandikiwa cha kusema
  9. Faana

    Ushauri kwa watu wote walioajiriwa

    🤣
  10. Faana

    Ushauri kwa watu wote walioajiriwa

    Ila waTanzania tunajijua kila mtu na siri yake namna anavyoishi Unakuta mtu analipwa 500K Anavaa Anakula Analipa nauli Anasomesha Analipa kodi ya nyumba Anajenga Anahonga Anafungua kibiashara Anashiriki vikao vya kuzungusha kama tulivyo Simu haipungui kifurushi
  11. Faana

    Ushauri kwa watu wote walioajiriwa

    Na hapo hujalipia choo ukiwa mjini mihangaikoni Hujahudumia Khadija (mtarajiwa) Hujasafiri kwenda kwenye msiba kijijini Hujamnunulia mzazi sukari na mafuta ya taa Hujachangia mambo ya kijamii mtaani kwako
Back
Top Bottom