Hi Guys
I am looking someone with Oracle Database 10g R2 Installer for Windows.
This version of Database is currently no longer available from Oracle Website for Download, unfortunately the CD i have got damaged and can not be used for Installation, and I do not want to use any latest version...
Hapa pa kumvua uongozi pana ugumu, Sidhani kama atakubali kuvuliwa uongozi na kuendelea kukaa katika chama bila kuleta madhara yoyote katika chama. Nionavyo aweza kuendelea kubaki chamani ili asipoteze ubunge wake lakini akawa mwiba wa kukibomoa chama ili ajipatie umaarufu. Nionavyo mimi huyu...
Sidhani kama CHADEMA watamfukuza zitto chamani kwa sababu kufanya hivyo kutakidhoofisha na kukiyumbisha chama kutokana na ushawishi alionao zito. Kumbuka kuwa kumekuwa na upepo unaodai u-kaskazini katika chadema. Kitendo cha kumfukuza uanachama zito kwa sababu yoyote ile (Unless it is a very...
Najibu kwa niaba ya mshichana ambae niko nae hapa (Yeye hajajiandikisha JF)
The answers are Simple
Kikojozi sitaki haina ubishi wala mjadala.
Alieachana mara 3, Inabidi uchuguzi zaidi ufanyike kwanini anakua aacha-acha
Mtu aliefulia - inategemea kama ana prospects za kutoka katika huo umaskini...
Tanzania Bwana...! Bado tu hatujaacha wema wa mshumaa? ... Kuwamulikia wengine huku wenyewe tunateketea? Hivi kweli nchi hii na umaskini ilionao inathibutu kutoa msaada kwa nchi nyingine? Inashangaza kweli kweli.
I was talking to an Indian Friend of mine about Marriage, I asked him how comes many Indian Marriages lasts longer than most western marriages what is the secret behind. He gave me a very strange answer that I never thought of.
He said the problems with western marriages are that many are...
For your information no nation in the planet earth is capable of eliminating the Jewish nation of Israel. They will try but they will end up being defeated. Long live Israel, Long Live the Jewish people of israel...
Habari nilizonazo ni kwamba WIA tayari wako connected kwenye SEACOM.
Vilevile Habari ambazo sijazithibitisha zinasema kuwa Parent Company ya WIA iliyoko South Africa wanamiliki some shares in SEACOM (Sijui % ngapi), kitu kinachowapa upper hand kwenye maswala ya Internet
Mkuu lakini hiki chuo unacho recommend hakionekani kwenye Ranking yoyote ya Universities za Africa. Sijui umechukua kigezo gani kusema kua nichuo bora.
For those planning to study in Uganda....Please be carefully.
This article is from Monitor newspaper in Uganda.
The National Council for Higher Education (NCHE) has blacklisted five private universities saying they do not meet the minimum qualifications.
According the Deputy Executive...
Wadau,
Nimepokea habari hizi hivi punde kua Imalaseko Supermarket Pamba House kumetokea wizi au Ujambazi vile, Sijui kama kuna mwenye taarifa Kamili atujulishe kwa kutupa data kamili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.