hawana shida hawa majamaa, ila tu wanapenda kuona mtu yupo active kwenye eneo lake, hata kama kazi kwa muda huo imeisha ila atleast uwepo wako unaonekana. Changamoto nyingine hawa majamaa wengi wao ni wagumu kutoa bonus.
Mada nzuri, ila changamoto ni kwamba umebase kwenye upande mmoja kuonesha kuwa wanaume pekee ndo tunafanya makosa kwa wanawake zetu, ila ukiangalia pia upande wa pili hata wao wanatukosea na mifano ipo mingi tu, ila kwetu sisi baadhi ya wanaume tunakubaliana na hali.
kwa taarifa nilizozipata inasemekana kuwa ni kweli na hilo tukio lilichukuliwa kupitia mfumo wa cctv na limetokea kwa tajiri mmoja huko kigoma...na kuhusu hizo sauti ni kwamba hiyo video imechukuliwa kwa simu ikiwa imeelekezwa kwenye display ya computer.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.