Recent content by Eng Kahigwa

  1. Eng Kahigwa

    Naomba kujua tofauti ya Toyota Pick Up na Nissan Pick Up

    Unamaanisha model zipi kwenye hizo Nissan na Toyota? Maana Toyota wana model nyingi ambazo ni pickup, hivyohivyo na Nissan.
  2. Eng Kahigwa

    Asanteni JF kwa ushauri, tayari nimepata gari

    Ni kweli ulisemalo ila kwasasa magari ya kuagiza yamepanda bei kutokana na production kuwa mdogo kuliko demand.
  3. Eng Kahigwa

    Online payment

    Kujiunga ni 2,000 tu..
  4. Eng Kahigwa

    Online payment

    Kwa upande wangu, kuhusu bank sijajua....ila kuna option ya kutumia mtandao wa Airtel, unajiunga na Airtel Mastercard then unafanya malipo ya online.
  5. Eng Kahigwa

    Tuwe makini sana na wezi wa mitandaoni (scammers) kwenye utafutaji wa ajira

    Na siku hizi imezuka matangazo ya kazi yanahitaji watu 900 na zingine hadi maelfu...sijui ni taasisi gani hiyo inaajiri kwanamna hiyo.
  6. Eng Kahigwa

    Wenye uzoefu wa kufanya kazi na wahindi jamani

    hawana shida hawa majamaa, ila tu wanapenda kuona mtu yupo active kwenye eneo lake, hata kama kazi kwa muda huo imeisha ila atleast uwepo wako unaonekana. Changamoto nyingine hawa majamaa wengi wao ni wagumu kutoa bonus.
  7. Eng Kahigwa

    Kupata mtoto kabla ya ndoa sio mwisho wa maisha

    Mada nzuri, ila changamoto ni kwamba umebase kwenye upande mmoja kuonesha kuwa wanaume pekee ndo tunafanya makosa kwa wanawake zetu, ila ukiangalia pia upande wa pili hata wao wanatukosea na mifano ipo mingi tu, ila kwetu sisi baadhi ya wanaume tunakubaliana na hali.
  8. Eng Kahigwa

    Video ya mchawi/mwanga aliyekamatwa akiwanga ina ukweli?

    kwa taarifa nilizozipata inasemekana kuwa ni kweli na hilo tukio lilichukuliwa kupitia mfumo wa cctv na limetokea kwa tajiri mmoja huko kigoma...na kuhusu hizo sauti ni kwamba hiyo video imechukuliwa kwa simu ikiwa imeelekezwa kwenye display ya computer.
  9. Eng Kahigwa

    Computer4Sale Dell Laptop for sale

    Asante sana mkuu. Nimeshafanikiwa kuiuza.
  10. Eng Kahigwa

    Computer4Sale Dell Laptop for sale

    Dell Latitude E6330 RAM: 8GB HDD: 500GB Operating System: Windows 10 | 64-bits CPU: Core i7 | Speed: 3.0GHz Battery Autonomy: 3hrs Status: Good condition Location: Ubungo, Dar es salaam Price: Tsh. 440,000/= Call/Whatsapp: +255 656 814 383
  11. Eng Kahigwa

    Watabe wa Bios naombeni majibu

    Dah! Kwa kichwa cha habari nikadhani unamaanisha bios ya computer system...content imenifanya nichanganyikiwe.
  12. Eng Kahigwa

    Arumeru: Kiboko avamia kijiji, auawa, wananchi wagombania Nyama

    Nakuona mleta mada umetulia zako juu ya msosi na yebo zako.
  13. Eng Kahigwa

    Best Tanzanian Universities

    Hii taarifa ni ya lini? How comes DIT inakuwa chini ya St.Joseph?
  14. Eng Kahigwa

    Toyota Land Cruiser 300 Series iko tayari kwa ajili ya kuendelea kuadabishana mjini

    Nawaza nitafungia wapi ngao (bull bar) maana naona unaweza haribu show ya mbele
Back
Top Bottom