Mtoto wa Rais mstaafu na mbunge wa Jimbo la Chalinze (CCM) Ridhiwan Jakaya Kikwete, ameshtakiwa na kampuni ya Mount Meru Hotel ya mjini Arusha baada ya kushindwa kulipa deni analodaiwa la tsh 891,600/= na kukiuka mkataba waliongia.
Kwa mujibu wa wakala wa hotel hiyo katika ukusanyaji wa madeni...
Hodi hodi jamvini,
Naomba nianze kwa kuwakumbusha vita ya kipropaganda waliongia serikali ya Afrika Kusini mnamo mwaka 1973 kunyamazisha kelele za ubaguzi wa rangi kwa kuanzisha gazeti lakini pia kuzusha kifo cha kiongozi mashuhuri.(mudergate scandal )
Hii ndio hali halisi kwa kile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.