Wana Jamvi poleni kwa majukumu ya siku, nimeona maoni yenu hapo juu, mimi nadhani nawafahamu hawa watu labda tukisema kuwa wana cook data au wanagandamiza wa-Tanzania mnakuwa mnamaanisha nini au ni tafiti ipi walitoa ikawa na uongo ndani yake? nahoji
I Pad 3, umekata mzizi wa fitna, nilikuwa na hasira mpaka nikacheka......!Bwana Yesu asifiwe sana, nawapenda sana wakristo, mbona reasoning yenu ni kubwa sana? mmetishaaaaaaaa, wambieni wanyee kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.