Nadhani hauna tabia ya kujitengenezea plan ya mwezi. Unapaswa kabla hujapokea huo mshahara bila kujali ni kiasi gani ujaribu kukaa chini, kama umeoa/olewa upange na mwenzio, ni gharama gani ambazo ni za lazima, mzitambue na mziandike mf. Bili za maji, umeme, rent kama mnapanga nyumba, bili za...
Ama kweli ukistaajabu ya Musa........
Huyo mwanamke ni kiboko ya huyo mharibifu, inawezekana anampa vitisha kwakuwa anajua kilichowapata wenzie waliozaa hao watoto 5. Wewe rafiki yake una nafasi ya kumshauri, na tana anapaswa kumshukuru huyo mama kama ameamua kuwa na msimamo wa kufunga ndoa...
Hivi kuna aliyewahi kudhibitisha iwapo ni kweli Mwingira wa Efatha aliota ndoto kuagizwa akaanzishe ile huduma yake? Nadhani ni bora kukaa kimya badala ya kupinga jambo usilolielewa.
hizo arguments haziingii akilini mwangu, Babu alipata ufunuo wa kiMUNGU na ametii. Wagonjwa wanapona na wanaelekezwa kwenda kutoa sadaka wanapoabudu. Nini mnataka zaidi jamani!
Binafsi naona taarifa hii ina mapungufu makubwa. Haijaonesha details kuhusu sample iliyotumika ktk research,tho ametaja Afrika kusini na takwimu za ubakaji.pia inawezekana mwandishi alitaka kuandika kwa namna ya kuuza tu, which is right n wrong in the other hand. 45% iliyoandikwa inatoka katika...
Jenga pekeyako, unless kama hiyo nyumba iko kwenye posharea na huwezi pata land. Katija kujenga ni muhimu ukakaa na engineer akakupa estmate ya materials yinayohitajika, alafu ukaweka deposit kwenye hardware utakapokuwa ukinunua . Gharama za ujenzi mara nyingi ni one third ya total cost.
Amepotoka huyu Raisi, laiti angeweza kusoma alama za nyakati asingerudi kugombea.awamu hii na watu tungemuona wa Maana. Sasa amekosa la kusema anatusi hata waliomfikisha hapo alipo. Anafanya mzaha katika mambo ambayo ni nyeti na hana heshima kwa walio mtangulia. . Ama kweli mwisho wa CCM umefika
Should I call it a political talk! People are dead, people are suffering!!!!!! Hawakujua madhara ya kutumia nguvu kwa raia wasiokuwa na silaha? Nawashauri wajiuzulu kwa kushindwa kutumia madaraka yao kwa hekima.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.