HAPANA BILA KUSEMA CHOCHOTE KITU NAHISI SIITENDEI HAKI NAFSI YANGU Kwanza kabisa nianze kwa masikitiko yangu binafsi na wale wote walioguswa na Hotuba ya Rais leo pale Ubungo; Pamoja na hotuba za baadhi ya viongozi naomba tuchambue japo kidogo...
Tunasubiri haki kutendeka na si kuunda tume ya watu wakat hili lipo Wazi muda wa kuunda tume si sasa bali tunataka action kwa huyu mtu haraka sanaa tumeshachonga na Ngonyera za bashite
Mkuu Troll JF hongera kwa kukubali madhaifu yote ya Rc huyu ni kwel umekuwa unamtetea kila uchwao hapa jukwaan tena kwa kutukebehi sisi tunaohoji juu ya ukimya wake wa Vyeti na sasa uvamizi huu wa kituoa cha habari clouds; Leo ndo umejua kwamba Sikio la kufa halisikii dawa.
Ila kwa sasa nakushauri usimamia kwanza Hoja yako ya Mh Rais kuweka jiwe la msingi hiyo Manake ndo mlipojifichia nyinyi Mnaotetea uovu wa Rc Wa Dar relax wala usiwe na msongo wa mawazo manake Huyo bashite kashalikorogo bado kulinywa tu
Mkuu usijidai humjui bashite ila nakushauri Ipo siku utamjua kuwa Jina lake ni Daudi Bashite na Si Paul Makonda wa sasa ila bado siku chache utamsahau na utaamin kwamba ni Bashite kwel
Wakuu kama mjuavyo Habari inayotawala Kwa sasa ni kuhusu Mkuu wa mkoa wa Dsm kuvamia Kituo cha Tv na Radio Clouds Siku ya ijumaa Usiku; Yamesemwa mengi na Picha ya jinsi tukio zima zimeonekana Na ndipo hapo pasi na shaka kuwa Uongo Hujitenga; Sasa Kesho ni Siku ambayo Wengi tutasubiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.