We kwa hakili yako ndogo unaona hii ni bure au unakrupuka .unajua maana ya mkopo ww au unasema tu .hii pesa cc wanafaika tutakja kuirydisha after chuo kwa kias kidogo kidogo .Sasa issue za ktuambia elim bure cio kama ingekuwa bure 2cinge tuma maombi na ukumbuke tulituma maombi takriban 70000.bod...
Kama kwel mtu unabusala na unaweza kujenga hoja nzur kwa mazingira sahihi hii thread yako usingeiangika .fikiria rais hajamaliza hata ck tano madarakan ety akurupuke tu lowassa mahakan heee wait a time .muda utafika huez jua mh rais anaanda nn .kwenye kes knavit ving vinahitajika kuwasawa .kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.