Hivi huwa mnatoa wapi hizi guts za kuwaita watu hasa Watanzania "wapumbavu".??
Ni kwa hivyo vi paragraph viwili vya kuunga unga visivyoeleweka ama?
Nyie ndio mnafanya kila siku watu wanajadili kubadilisha Mitaala ya elimu, maana inaonekana elimu haijatusaidia bado.
Mimi hapa Napendezwa na utawala huu, Na pia sina uhakika na udhalimu unaouzungumzia unless uniwekee details za kuaminika hapa apart from those empty accusations filled with anger.
Japo si support hata kidogo sula la watu kupotea abruptly, Nashawishika kuamini kama kweli kuna mkono wa serikali...
Nimejikuta Nimecheka hapo ulipoandika " Dunia ya wastaarabu" aka "Civilised" . Hili neno wakoloni walitumia sana hili. Kwamba walikuja kuleta ustaarabu "civilization" , kwamba Africa before Colonialism was not Civilized, it had nothing of its own.
Nilipoanza kusoma nikaona " Mbona kama Post inamuelekeo waa......."
Nilipofika mwisho wa post ndio nikaconfirm kwamba " Aaargh ni kweli banaaa, Ni watu wa Chama chetu kileeee"
Nakuhakikishia UNAZO SABABU BILIONI MOJA za kutoa kwa KUFELI kwako. Ila mark my words wenzio wasiotafuta sababu wanazidi kutoboa na kila siku wanapata hela na kufanya maendeleo, Mfano Mbwana Samatta,Dogo janja, Diamond na wengi sana ambao hawamtafuti wa kumpa lawama pale wanapokwama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.