PM Mtarajiwa Hana makundi. Na ni kio ngozi mahiri asiyekuwa na uccm wala ucdm na Mh JPM anataka kulifanya taiga kuwa moja. Ila namsilitikia Mh Nape alitegemea Sana kuwa PM. Mpeni pole.
Dr.JPJ Magufuli Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania,anaongoza kwa kuonesha mfano. Hii no kuonesha kwamba c lazima Sana ndege! Ikiwa no pamoja na kujionea hali halisi ya mahali anapopita na kuwashukuru wananchi kwa kumchagua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.