Hongera sana Mh.Majaliwa Kassim Majaliwa kwa kuteuliwa kuwa waziri mkuu wa serikali yetu tulivu ya Tanzania.Tunakuomba angalia kwa makini hizi halmashauri mpya katika utendaji na ufanisi wake na hasa halmashauri za mikoa ya pembezoni ya nchi kama vile Kigoma,Ruvuma, Katavi na mingine iliyoko...
Natanguliza shukrani kwa uteuzi wako na mungu akupe maisha marefu na yenye afya.Tunaamini maendeleo ya nchi yanaanzia katika halmashauri za wilaya na ndiko ambako fedha na miradi mingi ya maendeleo iko huko. ila kimsingi watekelezaji na watendaji wake wamekuwa ni miungu wadogo hivyo ufanyaji wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.