Uchaguzi wa 2025 umefanyika lini?[emoji15][emoji15]
Au mimi ndio nimeachwa sehemu, maana bado niko 2023 tena mwanzoooni kabisa.
Mwandishi usiwe serious sana, punguza mihemko unapoandika[emoji2][emoji2]
Tume ya Taifa ya uchaguzi imesisitiza kuwa Uchaguzi utakaofanyika Tarehe 28 Oktoba, 2020 utakuwa huru, wa haki na wenye kuzingatia uwazi kwa mujibu wa sheria.
Hayo yamesemwa na Makamu Mwenyekiti wa Tume, Jaji Mstaafu Mhe. Mbarouk S. Mbarouk alipokuwa akihutubia Mkutano wa Wadau na Asasi...
TUJIKUMBUSHE MAMBO MBALIMBALI KWA MUJIBU WA MIONGOZO YA NEC
Wajibu wa Vyama vya siasa wakati huu wa kampeni ni kunadi sera kwa kuzingatia Sheria za Uchaguzi,Kanuni na Maadili ya Uchaguzi. Kama inavyoelekezwa katika kifungu cha 51 (1) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343 na kifungu cha...
Utaacha kumwamini Mwalimu wako kwakua anasoma mara kwa mara anapogundua ana mapungufu?
Padri si Mungu, wala malaika, hatuna watakatifu wanaoishi duniani
Sent using Jamii Forums mobile app
Wataalamu naomba kufahamishwa namna ya kutibu maumivu ya nyonga, ni tatizo linalonikumba kila mara nikiwa katika mazoezi ya mpira wa miguu au hata hizi mechi zetu za mchangani maumivu yananinyima uwezo wa kupiga pasi ndefu Kukimbia kwa spidi
Kugeuka kwa haraka Pamoja na kuruka (high jump) naomba...
Waoga sana wa kuumiza, akidate na madem,hata mia hana ujasiri wa kuwapiga chini when it comes to the choice..
Akiwa na mademu 10 wote watapangwa kwa style hiyo,na kila mmoja atajiona ni malkia,kumbe wako mia. Akiwemo mke
Sasa kama inalinda wananchi kabla ya matukio kutokea??!
Mbona watu wanapotea na matukio yanaendelea bila hata ya wao kuwa na taarifa??
Na kama wanazo kwanini wasiwasaidie wanaotaabika kwa kupotelewa au kwa majanga yalotokea kwa ndugu zao?
Unaniyumbisha unavyoniambia wao ndio kila kitu kwene...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.