Habari wanaJF,
wa-Tanzania wameoadhimia kuacha tofauti zao za kisiasa na kuunga mkono jitihada zinazofanywa na Rais wetu Dkt John Pombe Magufuli bado tuna-monitor na ku-evaluata siku 100 za Rais Dkt Magufuli. Feb 14, 2016 tutatoa tathimini ya jumla ya mafanikio na changamoto amezokumbana nazo...
"Aliyekuwa Spika wa Bunge katika Bunge la kumi la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne Makinda, amesema kuwa hana mpango wa kugombea tena nafasi hiyo na wala hajachukua fomu kama inavyo elezwa na baadhi ya watu"
Tunamshukuru kwa utumishi wake.
Masaa kadhaa yasiyozidi siku moja yakiwa yamepita tangu kuripotiwa kwa kujiunga na mtandao wa kijamii wa sura ya kitabu ( Facebook) na shirika la utangazaji la CBN NEWS Rais Barack Obama kafikisha wafuasi zaidi ya milioni arobaini na tano (45mil)
Kwa niaba ya Ikulu ya Marekani, Rais Barack...
Wakati hali ya kisiasa Zanzibar ikiendelea kuwa tete kufuatia Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wa Chama chama Wananchi (CUF) kuendelea kupinga kufutwa uchaguzi mkuu visiwani humo. Wajumbe 27 wa baraza hilo waliwasili jana jijini Dar es Salaam na kuzungumza utata wa kisiasa unaoendelea...
Timu ya taifa ya vijana ya Nigeria, Golden Eaglets chini ya miaka 17 imetwaa ubingwa wa kombe la dunia kwa vijana.
Nigeria iliyofunga Mali katika mchezo wa fainali kwa mabao 2-0 huku mshambuliaji wake Victor Osimhen akitia nyavuni goli la kwanza na Funsho Ibrahim Bamgboye akaongeza goli la...
Mkoa wa Arusha waripotiwa kuongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya raia wanaomiliki silaha aina ya Bastola. Mkoa huo ulio moja ya mikoa ya pembezoni mwa Nchi yaripotiwa kuwa na matukio ya kutishiana bastola hadharani na sehemu za mikusanyiko ya watu.
CHANZO: Mwananchi.
Habari wana JF,
Naomba kuchukua fursa hii kwa unyenyekevu na uaminifu kuwashirikisha katika kuzihesabu pamoja siku 100 za Rais Dkt John Pombe Magufuli madarakani kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tangu kuapishwa kwake. Aliapishwa Alhamisi Novemba 5, 2015 hivyo uhesabuji wa siku mia...
Ikiwa ni siku yake ya tatu kulitumikia taifa kama Rais wa awamu ya tano ya jamhuri wa Muungano wa Tanzania baada ya jana kufanya ziara ya kushtukiza Wizara ya fedha na kubaini uwepo wa changamoto kadhaa ikiwa ni pamoja na utoro wa watumishi alioushuhudia,leo Rais John Pombe Magufuli akutana na...
Masaa kadhaa baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) chini ya Mwenyekiti wa Jaji mstaafu Damian LUbuva kutangaza idadi ya viti maalum vya ubunge kwa vyama vitatu vya siasa Nchini vilivyopata 5% ya jumla za kura zilizopigwa ikiwa ni pamoja na Chama Cha Mapinduzi (CCM), Chama Cha Demokrasia na...
Salam za pongezi kitaifa na kimataifa zaanza kutolewa kwa Rais mteule wa awamu ya tano ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Taifa la Tanzania.
Mapema leo baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi kumaliza hafla ya kumkabidhi Rais mteule cheti cha ushindi katika ukumbi wa...
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) inaelekea kumtangaza rasmi Dr John Pombe Magufuli kuwa rais mteule wa awamu ya tano (5) ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania. Dr John Pombe Magufuli atatangazwa kama rais mteule wa awamu ya tano kwa ushindi wa asilimia hamsini na nane nukta arobaini na sita (58.46%)...
Mgombea Urais kwa tiketi ya vyama vinne vinavyounda Umoja wa Katiba, UKAWA ndugu Edward Ngoyai Lowassa aandika katika ukurasa wake wa twita na kusema taarifa zinazosambwazawa katika mitandao ya kijamii kuwa kakubali kushindwa ni za uongo na zinapaswa kupuuzwa.
Mbali na hiyo, pia katika ukurasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.