Yule wa singida akiondoka kidoooogo nitaanza kuimba wimbo wa Taifa angalau mistari miwili ya kwanza ya ubeti wa kwanza. Nilikuwa nishaacha uzalendo kabisa.
Hivi kweli dunia nzima ina watu Bilioni nane. Nyie kwenye kutafuta attacking mid wa maaana mkaona Odegaard if all the players in the world kweli 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Arsenali ana world class player mmoja tu
Declan Rice
Wengine wote ni a bunch of average players
Mpaka mtakapokubaliana na hili ndio mtafanya maamuzi magumu kwa Transfer market
Hivi mlikosa wachezaji mkaona mumsajili Odegaard yani Ameshindwa fundi Ozil fundi fabregas eti Odegaard ndio aweze.?
Tafuteni kocha wa kueleweka na kiungo mshambuliaji wa kueleweka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.