Kweli mkuu kuna ukweli ,na ukiwa na michepuko mingi ndio kwisha.
Sasa sijui wanashida kweli, sababu ukitongoza mwanamke haipiti siku tatu vizinga vinaanza , inabidi ugharamie vitu vyake vingi
Uzuri sikuya kifo kilaa mtu anakiri uwepo wa Mungu, ukishiba kande utasema hayo maneno
Waliokana uwepo wa Mungu wanasayansi wa dunia walikiri wakatiwakufa . Sembuse Wewe mwakatumbula?
Siku ya kiama kila mtu atahukumiwa sawasawa na hesabu zake
Pia Mungu anahukumu kwa kutoa laana ya vizazi na vizazi
Usishangae analipiza kwa watoto wako na wajukuu zako
Kwa hiyo do right things bila kumuonea mtu
mimi nakaza
Kama umeamua kununua gar kubaliana na yote
Usipaki mda mrefu litasumbua uwe unaboost weekeend
Pia unawaweza panga siku za kutoka balo ubalance hesabu
Mfano wiki 2 gari , wiki 2 daladala
Ofisi ya DCI itenganishwe na ofisi ya polisi
Iwe independent km FBI ya usa
Pia ikiwezekana. TISS wahusishwe kweenye uchunguzi
Inamaana wameshindwa daka mawasiliano ya watuhumiwa na location za siku za nyuma?
Inamaana hapo kuna hela imetembezwa kwa hadi mashahidi walegeze ushahidi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.