Salaam,
Nafikiri mjadala huu unatoa mwanga ss...zingatieni scenerio ambapo gas inaletwa kwa ajili ya kuiconvert kwenye umeme lakini kiasi kingine kwa ajili ya kusambazwa kwa domestic na industrial use kama unavosikia kwamba kuna viwanda 34 vinatumia gas.
Ahsante mtoa mada(Getstart) hapojuu. Hapa nionavyo mm ni kwamba kwa kujua au kutojua mazingira yanatengenezeka ya serikali iliyopo kutofikia kikomo 2015 au kuharibika kwa vyote viwili; katiba mpya na uchaguzi mkuu
Hivo basi tufanye mawili yafuatayo
1. Tuandae mazingira ya kufanya uchaguzi...
Iundwe POLICE COMPLAINT COMMISSION, chombo huru chenye mandate ya kupitia mwenendo wa case yoyote ya Jeshi la Polisi itakayoletwa mbele yake ili kufanikisha dhana ya checks and ballances kwenye chombo hiki muhimu (Polisi) katika kuhakikisha haki za binadamu zinazotarajiwa kuboreshwa ktk katiba...
Nafikiri mtoa mada uko sahihi kabisa umetoa very simple but important constructive critisism.
Binafsi tathmin yangu ni kwamba mkutano huo ulikuwa more of a PR event kitu nnachokubaliana nacho kabisa kutokana na hali halisi ya chama kinavokua, hivo hayo uliyoyasema yalitakiwa kuzingatiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.