Hii mitamazo ya viongozi wenye nafasi kwetu sisi vijana wa mitaani nitofauti kabisa States za wenzetu huko wanajali sana vijana wao kiasi cha kuweka misingi mizuri ya kuaminika/elimu/maadili/ungozi kwaajili ya mataifa yao baadae, lakini kwetu vijana ndiyo gunia la lawama bila kusahau ni zao lao...
BamizaBlog ambayo unaweza kutumia kwa matumizi yoyote iwe habari,burudani na michezo ina zaidi ya viewer 538,338 ambayo ni nzuri kuanzia kibiashara
MaishaKiasiBlog ambayo unaweza kutumia kwa matumizi yoyote iwe habari,burudani na michezo ina zaidi ya viewer 1,2
06,068 ambayo ni nzuri kuanzia...
Nimekuwa nawasaidia watu ku apply Ajira kwa njia ya tovuti ya utumishi wa umma lakini Hiki kigezo cha kutoa copy vyeti na kupeleka kwa mwanasheria a certify copies zako halafu ndiyo upload kwa njia ya tovuti ya ajira utumishi wa umma siyo kibaya. Bado najiuliza mwanafunzi aliyeoko kijijini...
Dunia ya leo inaongelea maridhiano kwenye kilakitu hasa politics cha ajabu hapa nyumbani imekuwa tofauti tunapambana kuvunja na sio kushikilia amani tuliyonayo. In God we trust one wa kuwakamata watakwisha tu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.