Nina Galaxy A14, 4GB RAM , 128GB storage. Bado mpya kabisa ina miezi minne tangu niinunue.
Nahitaji Samsung Note 10+ ya laini mbili.
Je, ni top up bei gani?
Nilichogundua watanzania wengi wanapenda rushwa iwe kutoa ama kupokea maana hapa badala ya kukemea kjjana mwenzetu kuombwa rushwa ili agongewe muhuri badala yake mnamponda kwamba atoe rushwa.
Ndiyo maana hata askari barabarani wamehalalisha rushwa kama sehemu ya maisha yao kwasababu wanaoombwa...
Kuna mtu aliwalazimisha kugombea nafasi ambazo wanajua kabisa hazina malipo?
Tena mpaka wengine wanafikia kulogana kwasababu tu ya nafasi ya mwenyekiti wa serikali ya mtaa.
CCM wamemuita mwanachama wao kumuonya kwahiyo hawajakosea. Upande wa serikali nao wakiona inafaa watamuita kwenye secretariat ya maadili ya viongozi wa umma.
Naamini bado upo level ya sekondari ndiyo maana umedata na huyo mchizi wako ambaye hana majukumu yoyote zaidi ya kupewa matumizi na wazazi then anakupasishia japo buku mbili.
Ukikuwa sasa ndiyo utajua uachoongea sasa ni upuuzi mtupu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.