Nadhani ni utaratibu wa ofisi na ofisi, mfano mimi ninako ishi sijawahi kuombwa fedha yoyote ili nigongewe muhuri wa serikali ya mtaa, nakumbuka miaka ya 2015's wakati naomba mkopo wa HELSB kwa ajili ya chuo niligongewa muhuri bila malipo yoyote, mwaka jana pia nilienda kuchukua barua ya...
Hawa jamaa kwa mara ya kwanza nilikutana na Chuo nikiwa mwaka wa kwanza,aseeeh ile Semester ya kwanza niliteseka mno kwenye suala la kulala.
Kwenye hostel yetu kila chumba kulikuwa na vitanda viwili kwa hiyo tulikuwa tunakaa wawili, mimi na roommate wangu ilibidi tubadili ratiba ya kulala mana...
Mkuu ushahidi upo wa kutosha kabisa kwenye hiyo kesi,tatizo ni kwamba huo ushahidi uliokuwepo na ambao ulitolewa na muhanga mwenyewe wa hilo tukio haukuendana na kifungu cha sheria ambacho mtuhumiwa alishitakiwa nacho,ushahidi uliotolewa unaangukia kifungu cha 130 (1) (2) (a) lakini kwenye hakti...
Wakulaumiwa ni State Attorney kwa ku cite provision ambayo sio sahihi na haiendani na ushahidi,yani kesi imesikilizwa kuanzia mahakama ya wilaya hadi hukumu inatoka hawakugundua hilo na mtego huo huo Jaji wa mahakama kuu hakuona hayo makosa kwenye rufaa hadi wazee wa juu ndio wameona.
Kuna kipindi huwa naangalia kwenye channel ya Natio Geographic Wild kinaitwa Snake in the City,kwa jinsi Black Mamba anavyoongelewa mule kama nyoka hatari zaidi barani Afrika,lakini wewe kwenye comments zako ni kama una mu underate nashindwa kuelewa,je ni kweli hata wale jamaa wa snake in the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.