Habari humu ndani,
Wife anapata maumivu makali sehem za nyonga hasa upande wa kulia, hasa usiku wakat anapotak kulala. Ni mjamzito miez 7.
Baada ya kumpeleka zahanat Ucku alipew amoxilin 2x3, phenobabitone 1x2, na diclofenac, alvotumia Ucku zilimpa nafuu japo nkawaza sana kuhusu dawa hzo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.