majambazi wakikamatwa jamani wauliwe ili wapungue hii kuwapeleka rumande siku mbili tatu katoka kwaajili ya dhamani alafu anaendelea na kazi yake yaani mmmm sijui!!
kweli kifo cha huyo dada wa majengo kwa mtei kimeniuma sana kwani namjua sana huyo dada alikuwa hana story na mtu kabisa zaidi ya salamu basi na kuingia kazini na huyo dada alikuwa ni yatima analea wadogo zake sasa wamemuua wadogo zake watalelewa na nani?? yaani inasikitisha sana Mungu anawaona...
pole sana mama kwa kuachiwa familia naomba mahakama ihakikishe kuwa huyo mama anapata halali yake yaani nyumba wamejenga wote alafu anaenda kukaa na mkwe mwingine kweli wamama tunanyanyasika sana katika ndoa zetu Mungu azidi kutupa uvumilivu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.