Hivi jamani TPDC (Tanzania petroleum Development Corporation) ni Academic institution au ni Youth-led government corporation? Maana kazi zao wakitangaza umri ni miaka 30-35 au uwe umefaulu kwa alama ya upper 2nd au First class.....Kwani umri huu na ufaulu huu ndiyo unaleta tija katika kujenga...
Hi, Tumeona kwenye Dhahabu na sasa ni zamu ya kusini kwenye gesi: Naomba msaada kama kuna mtu analink au docoments zinazoelezea sheria inayobana wawekezaji (wawe local au international) katika kulipa eneo husika au kubanwa kuleta maendeleo kutokana na faida ya kazi zao, je kuna % yeyote...
Jamani hii lugha ya katiba inahitaji weledi kuijuwa: maswali yangu je, Bunge limevunjwa? Je lini hawa mawaziri wanaanza kazi? Kwangu sioni uvunjwaji wa katiba maana rais ananafasi 10 za kuweka wabunge wake, na rais anateuwa mawaziri kwa ushirikiano wa waziri mkuu ambaye pia yupo, so what wrong...
Kaka mtoa mada umenikuna sana, swala hili mimi linaniumiza kichwa japo si ishi Tanzania na hata nikija huko situmii hiyo gazi ila bado ninawasiwasi viongozi wetu kama wanaupungufu wa mawazo kidogo. Ukienda kwenye kampeni zao watasema hadi mapovu kuwatoka kuhusu manufaa ya mazingira, ukirudi...
Kutokana na mchakato wa kuandika katiba mpya mie nina 'oni' moja tu nalo ni kuhusu kula kiapo kwa Rais, katika nchi zinazoendelea rais akitangazwa tu jioni kala kiap. Kwa mtazamo wangu hii kwa kiasi fulani nadhani inachangia katika uibaji kura hasa kwa wale ambao wapo madarakani.
Kwavile tuna...
Kaka hapo ni mawili either Smile is right or yourself have kind of problem ambayo haujagundua. Sisi wanume tunatatizo la pre-ejaculation though haujaeleza kwa undani how you carry out your assignment ila kwa mtazamo wangu hapo unatatizo la kufika kileleni mapema kiasi binti hapati vile vitu roho...
Tena hili la msingi sana, na hasa kuwaambia maprofessa wa pale mlimani kwamba wanabana sana marks bado wanamawazo yale ya mwaka 47.... Nilichogundua baada ya kutoka mlimani kuwa kuna vitu nimelost kwa sasa hata mdogo wangu sitamshawishi kwenda kusoma pale...asikudanganye mtu kama alivyosema Pele...
Wewe umetoa ushauri mzuri na pengine ni dawa pia lakini kunamapungufu katika maelezo yako. Kwanza haya matatizo yanaendana na matatizo ya kiisaikolojia ili kwanza ndilo linatakiwa kutatatuliwa, pili kuhusu dawa zako inavyoonekana hapa wewe umempa kama ni immediate solution kuwa akipata kitunguu...
Swali ni je anafanya hivyo kwa kupenda au kutokana na ugumu wa maisha kwamba wana chumba kkimoja tu?
Nadhani hapo ndipo unaweza saidiwa ipasavyo kama utafafanua.
Duh kaka, i think you where wrong.........kwa taharifa ya ko PHD ya Slaa ni ya miaka 7, JK nasikia ana GPA ya 2.0, na aligraduate kwa amri ya mkuu wa nchi ambaye ndiye alikuwa chancellor wa chuo enzi hizo ndiyo maana kuficha aibu akapelekwa uko wilaya akawe katibu kata wa CCM...
Tunaweza, nia hamna tu ususani hawa wanaojiita wapinzani maana wanashindwa kuunganisha nguvu...wakati wanelewa umoja ndiyo ulitufanya tupate uhuru, ulileta mabadiriko kenya, zambia, malawi, etc...Pili ni sisi wapiga kura, hivi tungejitokeza at leat asilimia 70, nadhani vibao visingesoma...
Muhimu hapa ni mabadiriko makubwa, wabunge wengi wa CAHDEMA inaonyesha jinsi gani Dr Slaa alivyocheza karata yake vyema, wabunge wengi, ruzuku kubwa kwa CHADEMA, mshahara mkubwa kwa Dr Slaa hata kama aendi bungeni...Hii ndiyo biashara ya siasa, maana inaonekana watu hawajui mchezo huu...:doh:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.