habari wanajamvi...
nina A Level Certificate ya ndugu LUCAS J. MAKOMBE - KWIRO SECONDARY SCHOOL mwaka 2001...
naomba ndugu huyu au yeyote anayemfahamu amjuze ili ani PM niweze mpatia mzigo wake huu...
asanteni...
mkuu upo nchi gani wewe?
hivi bado hujaona athari za kuutambua huo msamiati?
kitu nilichojifunza ni kwamba huwezi zuia wind of changess, kitu ambacho nawashauri hao wanaotumika kufanikisha wizi wa kura wakatiwe insurance na hao wanaowapa hayo maagizo ya wizi (ni kazi ya hatari sana) koz nyakati...
huyu Mizengo Pinda simuelewi anaposema gharama za uzalishaji zimepanda, ina maana hili giza tunalogawiwa na Tanesco lina gharama zake...
Wafikirie kwanza jinsi ya kuboresha huduma zao, then hilo la kupandisha bei lifuate...haiwezekani kila siku huduma ni za ovyo, ila bei zinapaa balaa!!!nafikiri...
ngosha mi nafikiri ujasiri uliokusukuma kupakua mzigo kavukavu, ujasiri huo huo hauwezi shindwa kukusukuma kwenda kucheck afya.....
wahi kuwaona wataalam wa afya, kama ni matibabu yaanze haraka!!
pole kwa stress
mkuu hizo rangi zako pita huku pande za bariadi, ila jipange wazee wa kinyantuzu wanapiga mahari mbaya ng'ombe 50/100 ni rahisi sana kukuropokea ili wakupe mke.......kila la kheri bro
minyoo ina staili zake mkuu.....
labda ulikuwa ukimnyoa stail moja kila mara, imemchosha kaamua kutafuta ma-professional!!
ukiona manyoya usiulize...wahuni wameshakaa kati hapo, pole sana
mkuu hii kitu ilianzia pande za TMK, hii kwa kiswahili huwa inaitwa misimu
JEMBE ni TEGEMEO FLAN, BILA HILO HAKUNA KITU KITAKACHOENDA SAWA..........mfano
1)Biashara, jembe ni mtaji - in red uko poa
2)Familia, jembe ni mhimili wa nyumba - m2 anaeiweka familia mjini
3)Soka, jembe ni key player wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.