Mleta mada ulizaliwa mwaka gani ? Enzi za Mr Nice vhs zake zilikuwa nyingi huyo ndio alikuwa Diamond alafu umlinganishe na ferooz !!!
Mpaka umri huu sijawahi kuona vhs ya ferooz au msanii yeyote Tz zaidi ya Nice. Mpaka naweza kuamini Mr nice peke yake ndie alikuwa na VHS hao wengine labda...
Hayo yote mliyosema ni batili. Ukijidai kauzu kwa mkeo na wakati usiku unalala nae unajamba jamba hakuna atakuona fala tu😂
Kikubwa mpende kiasi na muheshimu. Sasa mna self kila siku anakusikia chooni huko unakata gogo hata unune ni kazi bure
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.