kin
kinyume chake, hiyo ni hukumu ya kibinadamu, ila kwa Mungu, anasamehe dhambi na hategemei mwanadamu asamehe kwanza ndio yeye akusamehe. wewe ukitenda dhambi, ni sahihi kwamba unatakiwa kutengeneza na wale uliowakosea, ila kufanya hivyo sio gharantee kwamba wasipokupokea hautasamehewa...
nadhani faida yake ni kwamba, atakuwa allies mkubwa wa magharibi eneo hilo hasa wamagaribi wanaotaka kuchuma congo, atasaidia kwenye silaha na technolojia jeshini, na labda cash money kidogo tu. otherwise, kuna asilimia kubwa sana wakimbizi watakaopelekwa rwanda wasiishi hata mwaka mmoja...
mbona hapa inaonekana kama wewe ni mzee wa neema au kondoo wake? endelea kufunguka. hakuna lolote lililositirika litakalobaki vilevile, yote yaliyofanywa gizani yataanikwa mezani hadi kila mwanadamu ajue mnatumiwa na shetani, hamna Mungu kabisa. zaidi ya yote, kimbieni hukumu ya Mungu kwasababu...
Mkuu, niwe mkweli, nilikuwa sijui kama huwa unachukia nikipost mistari ya Biblia hapa, hadi sasa umenifumbua macho. nakushauri okoka, mpe Yesu maisha yako, hukumu inakuja. Mungu akusaidie.
hiyo wanaenda hata leo wanakamata daktari anaandika kwa kubackdate. cha kuwaambia tu ni kwamba amefariki, basi, mwogopeni Mungu ndiye aonaye sirini. na hakuna damu ya mtu huwa inaenda bure.
mzee Mohamed Said upeo wake umeishia hapohapo, kuna vimagazeti huwa anaandika anadai ni vitabu vimejaa umbeya na uswahili wa aina hiihii na analazimisha watu waamini kwamba ni vitabu na kwamba vina maana yeyote.
yaani haya matusi yote, sioni wapi yana sababu. pole kama umekwazika, ila unatakiwa umtafute Mungu. tuishie tu hapo. Mungu akusaidie. at least, kilicho moyoni mwako kimetoka na umekuwa defined who you are.
ndugu yangu, hakuna eliya wawili kwenye malaki, Yesu mwenyewe alitoa ufafanuzi kwamba Yohana mbatizaji ndiye alikuwa eliya. sasa, wewe unasema yule mchungaji ni eliya, na siloam nao wanasema munuo ni eliya. mbona mmepotoka ninyi wahubiri wa uongo?
tafuta hospitali yenye MRI upitishwe mle, kuna uwezekano una shida kwenye nerves pengine za uti wa mgongo etc, zinapelekea hilo. hapa Muhimbili patakufaa.
watu huwa wanashindwa kujieleza kwa sababu nyingi sana. kuna siku yatakukuta na utaelewa hili. inaweza kuwa kuna siri kubwa ya serikali kuhusu ulichoulizwa na kimaadili huwezi kukisema pale kwenye kadamnasi, au kuna jambo la hivyo na ulijaribu kulificha kwa maslahi ya uma, au pengine wee ni...
wewe huna Mungu, ila una dini. okoka, hata ninavyoandika hapa nashuhudiwa kabisa najibizana na mtu ambaye moyoni ana shetani. tumia nafasi uliyonayo kurudi kwa Mungu kwa usahihi. wengi watasema sikutakiwa kusema hivi ila hata wewe mwenyewe unashuhudiwa moyoni ulivyo, unamhitaji Mungu, shetani...
mtu yeyote mwenye akili atakubaliana na pascal. alichofanya makonda ni kitu kibaya kabisa na udhalilishaji kwa mtu mzima. angelikuwa hata na adabu ya kulelewa tu asingefanya vile, ila sote tunamjua makonda alivyo, shida ndio hiyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.