Recent content by Changalucha

  1. Changalucha

    Wabunge ndio nyinyi mliopitisha hiki Kikokotoo acheni kukwepa lawama

    Sherehe zilifanyika Mwembetogwa Iringa Mwaka gani huo?
  2. Changalucha

    Dunia iliishia 1999

    Umezaliwa mwaka gani?
  3. Changalucha

    Rais Samia, usiichukue hiyo pesa Tsh. Milioni 120,000,000 ya fomu ya kugombea Urais

    Uko sahihi kabisa, Hao akina mama hata hawajui watendalo. Kuna watu wengi wenye uhitaji waliostahihili mchango huo, kama vile watu wanao poteza maisha kwa kukosa pesa 'kidogo sana' kwa ajili ya matibabu na pia kuna watoto wengi yatima wanaishi mazingira ya kusikitisha kwenye vituo vya kulelea...
  4. Changalucha

    Nakuwa na akili sana usiku kuliko mchana

    Utakuwa na vinasaba vya Vampires, Bundi, Popo na Wanyama wa aina hiyo walio active nyakati za usiku (Nocturnal).
  5. Changalucha

    Nimefika Tabora, nawaambia wanipeleke mjini wanasema ndio hapa tulipo!

    Anza kujenga wewe hizo modern buildings uonyeshe mfano.
  6. Changalucha

    Kwanini haya yanafanyika Zanzibar?

    "Kubangua" hawa vijana "kuajiliwa" ni sahihi kabisa kwa sababu hawajui kuandika.
  7. Changalucha

    UPDATE: Vifo vya Ajali Ngaramtoni vyafikia 25

    Aliziona Toyo na damu ziko chini za kutosha "akapita na hamsini zake".
  8. Changalucha

    Bar ya Royal tour Iringa mjini

    Is this forum still of great thinkers anymore? , Kwa mtazamo na uchambuzi wa kile kilicholalamikiwa inaonekana una mgongano wa maslahi na Meneja wa watu. Mambo mengine ni aibu na wala siyo ya kuleta kwenye mtandao wenye hadhi yake kama huu. Kwa mteja makini wa Bar unapigwa na kiti na muhudumu...
  9. Changalucha

    Ufafanuzi wa tukio lilotokea jioni ya leo kwenye Anga la Tanzania, Teknolojia inazidi kukuwa, Watanzania tunaachwa nyuma tunabaki kushangaa

    Uko sahihi, walaji wanajali zaidi huduma wanayoipata kuliko miundombinu yake, maana hata kutofautisha minara ya mawasiliano eti huu wa Tigo, Vodacom, Zantel au Ttcl au hapa imepita cable ya mkongo wa taifa sidhani kama inawasaidia.
  10. Changalucha

    TANZIA Kissendi Nyanda Ntalima Mpandagoya afariki dunia

    Apumzike kwa Amani. Alikuwa mwanachama JF kwa ID ya Hotesh Wakush kama nakumbuka vyema.
  11. Changalucha

    Kwanini viongozi wa mataifa yaliyoendelea hawana titles kama zetu?

    Ukisoma riwaya ya Nguli Chinua Achebe, A Man of the People (1966) ameuelezea vyema sana ushamba huu. Humo utawakuta Chief the Honourable Doctor Micah A. Nanga, M.P ambaye baadaye akawa anajiita Chief the Honourable Dr. M.A.Nanga, M.P, LLD. baada ya mwenzake kwenda Hijjah na kuitwa "Chief the...
  12. Changalucha

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Tunaomba jibu, saa 2.40 sasa na maelezo ya asubuhi ilikuwa huduma itarejea baadaye leo.
  13. Changalucha

    Hivi ni kweli nchi yetu inakosa vifaa vya kutabiri matetemeko ya ardhi na volkano kutoka milimani?

    Taarifa: Mamlaka ya hali ya hewa (TMA) inahusika na hali ya hewa, Wajiolojia (Geologists) pamoja na Taasisi ya Jiolojia wanahusika na tafiti za miamba iliyopo juu na chini ya uso wa ardhi ikiwemo pia chanzo au uwezekano wa kutokea matetemeko ya ardhi hivyo kupelekwa wataalam wa miamba Hanang...
  14. Changalucha

    Dar es Salaam ni mji wa kawaida ila unakuzwa sana

    Duh!, Mkuu naona vijana wa Dar wanakuumiza sasa uwaonapo wametinga kwenye vibukta, pensi na sandals wakitafuna chips:D:D
Back
Top Bottom