Uko sahihi kabisa, Hao akina mama hata hawajui watendalo. Kuna watu wengi wenye uhitaji waliostahihili mchango huo, kama vile watu wanao poteza maisha kwa kukosa pesa 'kidogo sana' kwa ajili ya matibabu na pia kuna watoto wengi yatima wanaishi mazingira ya kusikitisha kwenye vituo vya kulelea...
Is this forum still of great thinkers anymore? , Kwa mtazamo na uchambuzi wa kile kilicholalamikiwa inaonekana una mgongano wa maslahi na Meneja wa watu. Mambo mengine ni aibu na wala siyo ya kuleta kwenye mtandao wenye hadhi yake kama huu. Kwa mteja makini wa Bar unapigwa na kiti na muhudumu...
Uko sahihi, walaji wanajali zaidi huduma wanayoipata kuliko miundombinu yake, maana hata kutofautisha minara ya mawasiliano eti huu wa Tigo, Vodacom, Zantel au Ttcl au hapa imepita cable ya mkongo wa taifa sidhani kama inawasaidia.
Ukisoma riwaya ya Nguli Chinua Achebe, A Man of the People (1966) ameuelezea vyema sana ushamba huu. Humo utawakuta Chief the Honourable Doctor Micah A. Nanga, M.P ambaye baadaye akawa anajiita Chief the Honourable Dr. M.A.Nanga, M.P, LLD. baada ya mwenzake kwenda Hijjah na kuitwa "Chief the...
Taarifa: Mamlaka ya hali ya hewa (TMA) inahusika na hali ya hewa, Wajiolojia (Geologists) pamoja na Taasisi ya Jiolojia wanahusika na tafiti za miamba iliyopo juu na chini ya uso wa ardhi ikiwemo pia chanzo au uwezekano wa kutokea matetemeko ya ardhi hivyo kupelekwa wataalam wa miamba Hanang...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.