Recent content by CERDIC

  1. C

    Taarifa: Rais Kikwete aagiza bendera kupepea nusu mlingoti kwa siku tatu za maombolezo ya Kitaifa y

    I bid farewell to our role model and hero MADIBA tunafurahia maisha yako ya upiganaji na ushujaa dunia na Binguni unaenda kuketi kwenye kiti cha enzi. Wasio waungwana hakuna sababu ya kubeza salaam za mh Rais. Msiba wa Mzee Mandela ni wa ulimwengu sasa nyie vichenchede mnauliza swala la...
  2. C

    Je, Mmiliki wa Lake Oil ni nani?

    Wameziona fursa. Na nyie tafuteni fursa
  3. C

    Huu ni baadhi tu ya ufisadi mkubwa ndani ya CHADEMA; ni kuhusu mamilioni ya Sabodo

    Siasa ya nchi hii bado changa sana, watu mnatafuta ukombozi alafu pia unaleta mada zenye kuleta migongano ACHA KABISA safari ya nchi hii bado ndefu sana, tafadhali usiturudishe nyuma yote uliyoongea inadhihirisha wazi wewe upo kimasalhi zaid. na huyu mtu yupo ndani ya system japo hana taarifa...
  4. C

    Watanzania msiipigie kura CHADEMA 2015

    kiduku wewe ndio wale ambao huwa mnapewa takrima ya kofia na tshirt kisha unauza shahada yako ya kupiga kura, mtu kama wewe unayetumia teknohama bado unaleta hoja za ajabu hivi unashindwa hata na bibi na babu yako walioko kijijini tena watu wa mwaka 47 wanaelewa nini kinaendelea ndani ya...
  5. C

    Mbunge wa CCM azomewa Igunga

    Atakuwa na wakati mgumu sana wa kuwatumikia wananchi wake kama hakubaliki namshauri afanyie kazi PR yake, kwa kuanzia nakushari uhamishie maisha yako igunga, kumbuka 2015 mwigulu mchemba hatakuwepo utakufa peke yako. KAZI KWAKO
  6. C

    Mbowe in informal meeting with JK

    Mh. Mbowe as soon as we complete mourning activities let the public know what transpiried on your talks with president, otherwise I smell reputation risk and luck of trustworth,we are waiting hatutadanganya kama scandal za politicians wengine zilivyopotea kutokana na kikombe chbabu samunge
  7. C

    Hivi ndio jinsi ya kumuenzi Mh. Regia fanya yafuatayo....

    Kama alivyokuwa Mh. Regia ndio vijana wote wanapashwa kuishi maisha ya kila siku, nashawishi uanzishwe mkakati ambao vijana wengi watafundishwa jinsi ya kulitumikia taifa. Marehemu alikuwa na ujasiri sifa yake kubwa na uwezo wa kuthubutu kufanya jambo kwa maslahi na maendeleo ya taifa...
  8. C

    Josephine mshumbusi sio mchumba wa slaa?

    'Home of great thinkers' hawazungumzii hoja ambazo hazina maslahi kwa jamii. huyu aliyeleta hii hoja ana chuki binafsi na slaa na jose, therefore msichangie kumuunga mkono kwani mnamsaidia kukuza ujinga wake. usilolijua ni usiku wa giza
  9. C

    CV ya Naibu Waziri wa Elimu Philip Mulugo: Je inatosheleza kusimamia majukumu aliyopewa?

    The minister is a presidential appointee therefore who should be blamed by giving the Tanzanian the person whom we think does not deserve that position? these are the things you guys should strongly critisize these appointment and its not only Mulugo may be there are so many. otherwise the war...
  10. C

    Kutoka CHADEMA: Updates juu ya msiba wa Mheshimiwa Regia Estelatus Mtema

    Tunatoa salam za pole sana, kwa familia ya marehemu Mh. Regia, CHADEMA na wananchi wote wa mkoa wa morogoro na taifa kwa ujumla. Mheshimiwa Myika tunaomba utoe giographia ya kufika msibani tabata. ili wananchi tuweze kushiriki
  11. C

    Farewell-Kwaheri Regia: A Tribute Page

    REGIA, you had all good leader deserves, CDM should be stable at this sorrowful period, real the party has lost the fighter. RIP Regia
  12. C

    Mtoto wa mkulima Mh. Mizengo safarini Brazil kujifunza kilimo

    wakati sera ya kilimo kwanza ikiwa katika utekelezaji Mh. PM na Mrs Tunu wako ziarani Brazil kujionea na kujifunza kilimo cha kisasa ikiwa ni pamoja kutembelea viwanda vya zana za kilimo. sijui serikali inataka kuleta nini tena baada ya power tillers.ule msafara wake sijui kama kiongozi anaye...
  13. C

    Zitto athibitisha CHADEMA kupoteza Igunga

    Zitto, nini kimisababisha kushindwa lazima kutafakari tusikimbilie kusema kuchakachuliwa kwani CDM walikuwa wapi wakati CCM wanachakachua
  14. C

    Tafakuri nzito-igunga lengo ni nini?

    Hali inayoendelea igunga hadi sasa ni kweli wananchi na wenye maslahi na uchaguzi huo wanashindania kushinda na kupata ubunge kwa KAFUMU au KASHINDYE au MAHONA? Au kuna lazaidi? mi nadhani sio tu hao wagombea wapate ubunge. Mtizamo: VYAMA VYA SIASA HASA CCM NA CHADEMA WANATAKA KUOSHA MAJINA YA...
Back
Top Bottom