THIS MAN KAHALID AUCHO!!
Today, I choose to remember and celebrate Khalid Aucho.
There have been midfielders in the KPL and then there was one Khalid Aucho alias "Anti Da Lost One"
He was more than a midfielder. One of the players who gave their all to Gor Mahia – a player who took Gor as ‘his...
Huyu jamaa anayejiita Kazumari ni nani katika mpira wetu? Mbona naona Tff wanamhusudu sana.
Upande wangu namwona ni kati ya watu wanaoharibu mpira wa nchi hii mosi jamaa ameshindwa kuficha chuki zake dhidi ya Timu ya Yanga, Uongozi wake kaenda mbali mpaka kwa wachezaji wa Yanga.
Nafikiri kuna...
Ndio timu zetu mbili Yanga na Simba zinakibarua kigumu kwani zimepangwa na vigogo wa Soka la Afrika MasandawanaMamelod na Al Ahly mtawalia.
Ndio wakati wa Afrika na Dunia kuitambua Tanzania, ndio wakati wa mawakala kuja Tanzania na kusaka vipaji, ni wakati wa kuweka rekodi za Kidunia.
Kwenye...
Baada ya ushindi wa goli 3 Jana wa Simba dhidi ya wachovu Singida fountain gate zile kelele kwamba Gsm anasponsor timu zote za ligi kuu zimekwisha/zimepungua.
Kama watoto wa Tff Jana wangefungwa au kutoa droo pasingekalika humu na kwenye baadhi ya vipindi vya michezo wachambuzi feki wangepata...
Nlitaka kushangaa hujapost Pumba zako mpaka sasa.
Hakika zile tano bado hamjakaa vizuri kila kukicha ni Yanga Yanga sasa magodoro yametoka wapi
I wishi viongozi wako wa Kiroho wafahamu unavyopenda ushirikina kila habari yako Mara majini Mara sijui Bibi kafanya nini punguza Mori masta halafu...
Walianza KMC, wakaja JKT, wakaja Simba baba lao leo limewakuta Ihefu achana na wale waarabu wa Algeria.
Hizo timu zote tajwa walizikosea Yanga heshima wakataka kupishana na Yanga kilichowakuta imebaki historia.
Ziko timu nyingi zimecheza kwa Nidhamu kubwa sana na Yanga rejea Namungo mchezo wa...
Simba ni kama sikio la kufa tu hata uliwekee Boric Acid ear drops hamna kitu.Simba wamebaki kumpigia promo GSm na kuacha kumpigia Promo boss aliyenunua timu yao mo.
Kwanini Simba wanalia sana na ishu za Udhamini Jibu ni jepesi tu baada ya ligi yetu kukua na wenye pesa zao kuamua kumwaga mpunga...
Kama ni Mkristo nenda kanisani Kaombe misa hata isomwe siku tatu mfululizo wote watatawanyika maana huna baya na MTU, sijui kwa imani nyingine wanafanyaje.
Ft. Tz Prison 2 Simba 1(mwenyeji)
Ni kama Prison walisikia kilio cha Kocha wa Galaxy Morena Ramoreboli dhidi ya michezo michafu waliyofanyiwa na Simba anzia ulonzi mpaka uwizi wa vifaa vyao.
Baada ya dakika 90 pale Morogoro hatimaye Prison wameifunga timu bora ya Caf wakiwa na mchezaji wao...
Hii iko kwa Simba tu ya Tanzania Timu zote zilizocheza leo zimecheza michezo yao ya ligi makwao hiyo hali hewa ya Ivory coast ipoje ni Arctic circle nini, Al Ahly kafika Kumasi kwa one day before game, Wydad kafika Botswana one day before game, same same to Mamelodi nyie lia lia fc tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.