Habari jamani.ninapenda kufahamu kuhusu gharama za kuanzisha,na kundesha mradi wa kutengeneza matofali ya mchanga.pia gharama za mashine zinazoweza kutumika na mahali ambapo zinauzwa.kwa yeyote anaxefahamu naomba anijulishe.
Mimi ni mkazi wa morogoro.nina viwanja viwili ,vyote vina ukubwa wa ekari moja kila kimoja.kimoja kipo karibu na mjini na kingine mbali kutoka mjini.sina pesa ya kujenga nyumba kwenye viwanja hivi na sitaki kuviuza.je ni shughuli gani nifanye kwenye viwanja hivi ili ziongeze pato langu kiuchumi?
Habari jf members.nilichomeka modem yangu ya vodafone kwenye usb port ya kompyuta ya mezani,ghafla ikawa ya moto sana,tangia hapo kila nikichomeka kwenye kompyuta yoyote massage hii hutokea 'one of usb device connected to this computer has mulfunctioned'..taa ya blue huwaka kwenye modem ..je...
Habari wana jf.ninaomba mnisaidie mawzao.nina shilingi milioni moja,je nifanye biashara gani kwa mtaji huu mdogo nilionao.mimi ni mkazi wa morogoro mjini maeneo ya mazimbu.
Nilitumia adapter tofauti kwenye kompyuta yangu tangu hapo imekataa kuwaka,je ni kifaa kipi kitakuwa kimeharibika?kwa yeyote anayefahamu mafundi wa kompyuta wa kuaminika wanaopatikana dar naomba anipatie namba za simu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.