shida ni mo au bajaj? Maana kuana watu wakisikia mo tu midomo inawawasha. Bajaj mpya ina thamani kuanzia mil8 au zaidi. Ni mtaji tayari anauhakika wa elfu 20+ kwa siku kama hesabu akimpa kijana
NAKITU NIWEKE WAZI HAPA INAONEKANA MAUMBILE YAKO NI MAREFU YANAPELEKEA KUGUSA MLANGO WA UZAZI (cervix). BADILI STYLE MAANA MAPENZI SIO VITA NDUGU NI STAREHE. Kama unapenda kufanya hivyo tafuta mpenzi mwenye maumbile yanayo kumudu ila kwa huyo mpenz wako unamuumiza.
Kuhusu UTI sio kweli maana...
JITAHIDI KUVA KUFULI MARA MOJA USIRUDIE MPAKA UIFUE, JITAHIDI KUJIKAUSHA MARA BAADA YAKUTOKA KUOGA AU KUSTANCHI. TUMIA CREAM MAALUM YA KUONDOA FANGASI. USAFI NA KUWA MKAVU SEHEMU NYETI NI MUHIMU
ilinitokea nikiwa na umri wa 10+ then nikawa nina pakamua nakupasafisha vizuri mara kwa mara mpaka kikaisha; baada ya muda kikakauka ila kishimo kidogo kikabaki kama kovu.
kuhusu pombe ni kawaida kwenda haja ndogo pindi unapokunywa pombe kwakuwa mwili unatambua pombe kama sumu hivyo mwili unajitahidi kutumia kiasi cha maji mwilini kutoa kiasicha pombe kama mkojo au jasho wakati mwingine kwa kutapika pindi inapolazimika. Unapokunywa pombe hasa kali ambozo ni dry...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.