not enough, waume za watu is a game. Tatizo ni usipende ki ukweli, mie naye mmoja wa mtu tulishibana kweli. Tatizo aliponiacha baada ya mkewe kutubamba nilikoma
ila ashanunua housi, kazi ya kuniweka mjini na mwanae anamlipia ada shule standard. Na nikiwa na ishu namfuata kiulaini.
Jizuie...
@Mzee Madoshi. I feel you. Hata mie nashangaa sana "mtoto wa nje" kuwa namba wani, wakati mie naona ni faida tu wakiletwa na mie nikawalea. Au weye ni bagheshi ndo kuwa hawajali haya mambo.
Mtoto wa nje kwa nini halisameheki wakati tunajua wenza wetu wanacheat? Sifurahii ila sioni kama halisameheki. Je mwenza akikuletea UKIMWI inakuaje whan you are sure na uaminifu wako?
Kweli nifafanulieni mie hapa ni bichwamaji kwenye hili.
Mi naona faida tu, napata wa kunisaidia na kazi ndani...
1. Ulevi/matumizi ya madawa ya kulevya,ni kero na uwezekano wa kuwa responsible unapungua. Ni tatizo sana kwangu, labda sababu situmii kilevi cha aina yeyote, hasameheki kabisa.
2. Account za siri(mipango isiomshirikisha mwenza), Kamwe halisameheki sababu atakuwa anaplan kujenga palestina...
Asante, will try. Nilihitaji watu wa kuniondolea fear hii ili niweze hata kumweleza dokta. Maana ni aibu jamani. Uwe na gari, nyumba, hela kuna wakati unatamani kuwa hata mwanamke anayepika kambi ya fisi lakini uwe a complete woman.
Asanteni, nakuwa na wasi wasi sana ninaposafiri kikazi hasa nje ya nchi, naset alarm after every 2hrs na nalala na taulo mapajani kupunguza adha, japo inasaidia lakini till when?!
Kuna wakati nilimuuliza mtu mmoja japo sikumweleza kama ni mimi akasema inasababishwa na kuwa abused ukiwa mtoto, I...
Habarini za jioni, kwa mara ya kwanza najitokeza hapa kuomba ushauri. Nina miaka 31, nina mtoto mmoja na sijaolewa. Kitu kinachoninyima raha ni kukojoa kitandani, cna mtu wa kumwambia maana ni aibu kubwa sana.
Japo nina kazi ya kuniwezesha kuishi mjini, sometimes naona sina thamani yoyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.