Aisee
Nilianza kwanza kuwoma java language
Nikafuata Android Studio
Nikaanza kudesign app tu za kujifunza kuprogram lakini nikastop sasa naona ngoja nianze tena nimeona kuna watu wanajua pia tunaweza saidiana labda.
Hii ya kufanana mimi mwenyewe nakubaliana nayo sababu toka nimezaliwa nimeshafuata na watu zaidi ya watatu wakinifananisha na watu waliopo sehemu ambazo sijawahi hata kufika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.