Asante sana Mkuu... Nimejifunza jambo hapa maana ilikua inanipa ukakasi.. kumbe kuna jamii ina refer zaidi ubatizo wa Yesu kule mtoni na wanasahau kuwa mitume walipo pewa uweza waliendelea kubatiza hata nje ya hiyo mito
Thanks Brother [emoji120]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.