Asee, Pole sana kwa familia.
Huyu sio Bulldog na sio pure Pitbull.
Huyu nahisi amecross Pitbull na Boerboel.
Pitbull ni mbwa wa kufuga kwa upendo mkubwa mno, na hautakiwi kumfanyisha aggressive training yoyote. Yeye anafundishwa obedience tu.
Ukimfanya kama mbwa wa Ulinzi niamini mimi...
Mimi sio mlokole na infact nimuumini wa Logic zaidi kuliko believes ila T.B Joshua kwangu alikua mtu noble sana.
Jamaa alikua mtoaji sana, habagui dini. Ametembelea nchi zenye ukristo na uislam mkali na amesaidia taasisi na orphanage nyingi sana duniani, wanafunzi kwa wazee wamebenefit sana na...
Mkuu mimi naomba kujua kuku wa nyama(Broiler) ambao ni wazuri kwa Dar es salaam unapata wapi besides interchick?
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Hapo kwenye pedigree ndo sina uhakika mkuu.
Watu wana mawe sana asee, kuna breeders bongo wako njema sana na wanaruhusu kutembea uone na ukitaka pedigree papers unaonyeshwa.. !!
Sisi wengine machizi mbwa tumetembelea mabreeders mpaka Mwanza huko asee.
Sent from my SM-G970U1 using...
Mkuu bongo kuna mpaka tibetan mastiff.
Hao Kangal na Caucasian wapo toka 2017 kipindi icho namimi nafuga.
Yupo mtu mmoja anaitwa Nuhu, yuko Kigamboni. Ana page instagram nadhani ..! yupo yule Ras Arusha alabai anao.
Bongo kuna breed nyingi sana, watu wamedare kweli, wale St bernard na jamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.