Ni vizuri mnapopost habari kutoka sehemu nyingine muwe mna-acknowledge hata kidogo kwa kutaja source. Hii habari iliandikwa na RSA(Road safety ambassadors) TANZANIA kwa kutafsiri mapendekezo hayo kutoka kiingereza kwa faida ya umma. hata hivyo tunashukuru kwa kuusambazia umma ujue kinachoendelea
Kwa hiyo kama sio hivyo, abiria wanapokuwa njiani watupe uchafu ndani ya basi? mbona hili kimi sioni kama ni gumu? mara nyingi tu nimesafiri na mabasi nimekuta yana dustbin na mkifika hotelini kondakta anatoa anakwenda kutupa takataka safari inaendelea. Mie nadhani hili ni la kimaendeleo. Labda...
Of course, takataka zisipotupwa haliwezi kuwa kosa la tajiri moja kwa moja, lakini hizi provisions zimetoka kwenye draft ambayo SUMATRA waliitoa tarehe 2 march for discussion, ambapo TABOA pia walialikwa. sasa sijaona final draft kama bado imeretain hiki
Sheria hizi ni mbili tofauti, makosa yanayohusu uendershaji faini zake ziko chini ya ROAD TRAFFIC ACT, ambapo faini kwa kosa la papo kwa papo ni 30,000. Makosa ya leseni ya usafirshaji ni kwa mujibu wa TRANSPORT LICENSING ACT
Kanuni inatafsiri kabisa mwanafunzi ni nani.
“pupil” means a scholar of kindergarten, primary or secondary school;
“students” means scholars of post-secondary education;
*KINACHOSABABISHA MGOMO WA WAMILIKI WA MABASI NCHINI NI MAJUKUMU MAPYA KWA WASAFIRISHAJI AMBAYO WAMILIKI WANAYALALAMIKIA CHINI YA KANUNI MPYA ZA SUMATRA*.
*Majukumu haya yanapatikana katika rasimu ya Kanuni mpya za Usafirishaji Abiria* (THE TRANSPORT LICENSING (PUBLIC SERVICE VEHICLES)...
*KINACHOSABABISHA MGOMO WA WAMILIKI WA MABASI NCHINI NI MAJUKUMU MAPYA KWA WASAFIRISHAJI AMBAYO WAMILIKI WANAYALALAMIKIA CHINI YA KANUNI MPYA ZA SUMATRA*.
*Majukumu haya yanapatikana katika rasimu ya Kanuni mpya za Usafirishaji Abiria* (THE TRANSPORT LICENSING (PUBLIC SERVICE VEHICLES)...
Nadhani kikubwa SUMATRA wanachotaka ni kwamba wakikupa leseni ya usafirishaji basi wewe kama miliki utii yale masharti. Yaani wewe ndio umsimamie dereva wako, sio wewe uache gari haina usimamizi uwe busy na kupokea hela tu ila kinachotokea barabarani usijali
Na makosa ambayo yanambana mmiliki ambayo awali yakimbana dereva utayaona hapo, hakuna kifungu kinachosema mmiliki atafungwa jela kwa makosa ya dereva yanayohusu uendeshaji gari. Makosa ambayo sheri hiyo inashughulikia ni makosa yanayohusu ukiukwaji wa masharti ya lesen kama vile kukatisha ruti...
Hawa TABOA mie bado sijawaelewa kwa kweli. Huu mgomo wanaotangaza kushinikiza bunge lisipitishe sheria inayowabana ni sheria gani hiyo?? Mbona ukiangalia hata website ya bunge huoni muswada wa namna hiyo? Au wanachanganya madawa hawa?
Ninachojua mimi, SUMATRA wako kwenye mchakato wa kutunga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.