Nimewahi kuingia mojawapo kutokea chini ya ardhi.
Yaani stendi halisi iko chini ya ardhi,
Kituo cha mwendo kasi kuliko uwanja wa ndege wa JKNI kiharakati
Yapo mambo mengi ambayo yametoa picha ya namna Israel na Marekani wanavyoshirikiana kimkakati ili kuhakikisha Israel inaitawala Gaza na Palestina yote bila upinzani.
Ni kweli Israel ilikuwa na nia ya kuipiga Iran kwa nguvu kubwa na kuleta madhara zaidi lakini kwa kushauriana na Marekani na kujua...
Sio watu wa mdomo mdomo mtupu.NI watendaji na wenye juhudi tena katika ya wakati mgumu.
Ni watu wanaomtukuza Mwenyezi Mungu hata wakijua kuna binadamu anasababisha mateso yao.
Wakipigwa wanarudisha kwa kadri wanavyoweza
Wakipata kingi wanakula na wakikosa wanashukuru na kugawana kidogo...
Katika utambuzi wake huo Jamaica imesema imefanya hivyo kwa kutekeleza maazimio ya umoja wa mataifa na kanuni za usawa na kuheshimiana.
Kilichoisukuma kufanya hivyo ni vita vinavyoendelea Gaza na dhulma wanazofanyiwa wapalestina.
Ni nchi gani zitafuata kufanya maamuzi ya hekima kama ya Jamaica.?
Hamna cha ajabu hata chembe.Na miaka 6000 nyumba katika umri wa dunia ni karibuni sana.Sasa sijui umeshangazwa na nini.
Kama kuna cha kujifunza ni kuwa waliojua hayo mambo yanayoonekana ya ajabu walifunzwa na yule yule anayetupatia ujuzi sisi wa sasa.Ambae kuwepo kwake hakuna mwanzso na mwisho...
Vita vya kisasa ni mbaya sana.sehemu ya kupigwa inalengwa kutoka hata kilomita 6000.
Israel mpaka Iran ni zaidi ya kilomita 1000 na bado Iran imeweza kupiga ndege na njia ya kurukia ndege.
Akitaka anaipiga mpaka nyumba ya Netanyahu.
Kwa kujua uwezo wa Iran ambao mwanzo ilikuwa ni wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.