"No research, No right to Speak" aliyoyaongea na kinachotokea kwenye manunuzi (mahemezi) ya bidhaa husika huku mitaani ni vitu viwili tofauti, labda kama alikuwa anaongelea YAJAYO KUFURAHISHA!!!
Hapa hukupaswa hata kutuuliza kama ni kweli au si kweli maana mwanzo wa thread yako hadi mwisho inaonyesha jibu unalo na swali lako haliko balanced.
Ukiwa na thread yenye jibu tayari kama usi-dive bora tu ukapotezea watu tukaendelea kutifua nyuzi zingine huko
Huko kwenye kudeka inategemea mzazi mwenyewe hasa mama, kwangu mimi nilikuwa nakung'utwa vzr tu nikikosea. Kwa sababu ya utundu wangu kichapo kiliponizidia ilibidi nihamie kwa Bibi mzaa mama. Japo kulikuwepo na kudeka, kaukorofi ka hapa na pale na ugomvi but nilipoingia primary ghafla nikawa...
Daaaah! Hizo romances anazokupa ni zipi labda au anakupea katikati ya barabara tena mchana kweupe?
Anipe romances na XXX acheki namwangaliaga tuu?[emoji23][emoji23][emoji23]. Aisee ningekuwa ndio mm mashuhuda wangekuta manyoya tuu...kiufupi unamlea na kumdekeza vilevile
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.