Unapotaka kufanya biashara ya siasa mtaji wako ni watu.Ukishakuwa na wapiga kura wasioyumba kiasi kama 5 million unabaki na kazi ya kutafuta nyingine mara mbili kama hizo.Hiyo ndiyo base yako.
Kwa hesabu hii Jakaya Mrisho Kikwete atakuwa ni Rasi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.Wana Chadema...
Hakuna chama kilichopata adha ya kupambana na CCM kama CUF.Kuna kumbukumbu ya hata wanachama wake waliuawa kwa sababu ya kutetea demokrasia.
Kuwataja kama CCM B au C ni kutojua historia ya chama hicho cha wananchi.
Uchambuzi wako unaonekana ni sahihi,ila naona upande wa wabunge Chadema itapata takriban 30% ya wabunge wa kuchaguliwa.Hatua hii itakifanya kuwa kiongozi wa wapinzani bungeni.
Pamoja na expectation kubwa kuwa ni kigezo cha wao kukata tamaa,hapo nasema no ila nafikiri kuwa hii itakuwa changamoto...
Kila kata mbili zina shule ya sekondari.Hilo si dogo.Ni hatua ya kupongezwa.Sasa kilichobaki ni kulinda hizi shule na kuzipatia vifaa na walimu.Hiyo ni hatua inayofuata.Haihitaji Phd kufahamu kuwa ni ahadi iliyotekelezeka.
Sijaona majibu stahili ya post hii.Ukweli ingekuwa wakubwa wa jamii forums watoe majibu ya kina na muafaka.Majibu ya" hatudanganyiki" hayana uzito kwa sababu hayakujibu hoja iliyowekwa mbele yetu.
Hakuna anayetegemea wale waliopata asilimia ndogo katika utafiti huo wakae kimya!Imani yao na utafiti uliofanywa vinakuwa ni vitu visivyowiana.
Kwa wale walipewa aslimia kubwa hiyo ni ishara ya ushindi kwao.Kama tafiti haziaminiki hakuna haja ya kupiga kelele kwa sababu mwisho wa yote ni...
Bwana Mbwambo anaandika kile anachohisi yeye binafsi na kukiweka wazi.Je maadili ya uandishi wa habari yanafuatwa?Tuna magazeti mengi yenye makala mbalimbali na wote hao kuna mahali wanapoegemea.
Kutokana na hilo hapo juu ni wazi kuwa Mbwambo yuko kwenye vita dhidi ya JK akijitahidi kumpakazia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.